Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

 
Msamehe jamaa ahalaanika sana huko alipo
 
Wapenzi wote ni matapeli, tunafanyiana unafki, kila mtu anamlia timing mwenzake. Mapenzi yalikua zamani, siku hizi sanaa tu
hakika weng ni matapel, nami naona kuna msichana nilimpenda sana nkawa nae nilimkuta ana mtoto alizalisha akaachwa nae toka nmekua nae ananiwekea mashariti kuhusu kufanya nae maoenzi kwa kigezo mtoto atazulika bado mdogo, nkimwambia kuna dawa ya kuzuia hcho kitu kutokea na nilikua nshagharamia kwa mtaalam ili tutumie mm na yeye na mtoto wake pia tena hataki lkn anapopata shida zake binafsi znazohitaji pesa kwa malez ya mtoto wake ananiomba huu pia si utapeli wa kimya kimya.
 
Erick punguza utapeli


mama wawili
 

huo utapeli upo sana...wengi wametapeliwa kwa namna hiyo
 

tatizo huwa mnajitoa mno...wengine huwa ni gold digger...take your time kumchunguza mtu kwanza kabla ya kuanza kupeana pesa
 
Naomba nikuulize swali dada, kwa maelezo yako inaonesh mlikua mnafanya kazi jiran au sehemu moja, sasa ilikuaje msionane kwa miaka 2?
 
Faith....ile pesa nilienda kuanzishia mradi wa mabibo kule mtwara....n right now nimefungua kampuni inaitwa "Han chen mabiboz" nilivo kuona dukani nilitaka 2ongee pembeni...what I want to tell you is dat nataka uwe CEO in my company coz capital ilikuwa pesa zako za mkopo..I don't care kama tutaendelea na mahusiano or not ila nalipa fadhila 2
 
Pole sana kwa yaliyokukuta.
 
Wewe mshenzi sitakusahau kwa kuniweka kimya kimya mbele..information zangu uka misuse, haya pamoja na mengine huwa najiuliza wewe ni mtu au jinni uliyekuja ku destroy Maisha yangu?? mnhhh
 
Sijawahi kutapeliwa pesa coz sijawahi kumuamini mtu mbele ya pesa. Hutakiwi kumwammbia mtu yeyote kama una pesa kiasi flani hata kama ndugu yako wa tumbo moja, once mtu akijua una pesa kadhaa ataanza kuzipigia plan jinsi ya kuzitoa kwako ziende kwake.

Sent From Galaxy S20 Ultra
 
Nakutumia 85k na yakutolea
TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…