Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Pole sana Faith kisa chako kinafanana na changu kabisa kasoro mimi sikwenda Mwanza, wala kumpa kiasi kikubwa hivyo cha fedha ili nilikwenda kwake nikapika na kupakua but ndio hivyo ni TAPELI au ni Mario, all in all ndio maisha twapitia
Hahahahahaaa,yaani mpaka uje ukute mwanamke ameolewa na kuwekwa ndani na kuwa chakula ya jamaa(mke),amepitia sarakasi mingi/nyingi sana na za kufa mtu ambapo ni vigumu sana kusema kwa mchumba mpya.Tatizo nyie wadada/wanawake(badhi)huwa mnashoboka na hawa wanyoa ooooh na scrubs zao za usoni mkiwaacha wanaume walio 'normal'.Mtaendelea kumegwa na kutapeliwa mpaka mtakapotia akili kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo J yupo humu jukwaani ??? I'm just curious
IMG_20190120_205913.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matapel kwenye mapenz wapo na wataendelea kuwepo baadhi ya madem wasikuiz kila ukiongea nao kwenye sim ammalizi kuongea bila kukuomba ela nao ni utapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahaaa,yaani mpaka uje ukute mwanamke ameolewa na kuwekwa ndani na kuwa chakula ya jamaa(mke),amepitia sarakasi mingi/nyingi sana na za kufa mtu ambapo ni vigumu sana kusema kwa mchumba mpya.Tatizo nyie wadada/wanawake(badhi)huwa mnashoboka na hawa wanyoa ooooh na scrubs zao za usoni mkiwaacha wanaume walio 'normal'.Mtaendelea kumegwa na kutapeliwa mpaka mtakapotia akili kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app


Uko right kabisa kabisa yeye alikuwa na afro ya ukweli na perfume zaidi ya moja ndio atoke home
 
una moyo wa huruma lkn ulimuona dukani ukamuacha ivi ivi 😀😀
 
Pole sana siku uliyokutana nae dukani ulitakiwa umuulize kilichompata.
 
pole sana faith.....

ila nilichokiona hapo licha ya jay kukuumiza bado una mapenzi ya dhati kwake na unaomba siku ajitokeze akuambie ni kipi kilimtokea ili kama kumsamehe umsamehe

pole sana dada angu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauziwa mbuzi kwenye gunia? Unachukua hela yoote tena ya mkopo unamkabidhi mtu akakununulie nyumba? Kwani nyymba inahamishika? Kwanini ukwenda ukaona? Na hati ya mauziano iliandikwa jina la nani ikizingatiwa mlikuwa bado hamjaoana? Mimi naona alikuona ufahi kuwa mke material wa kumfaha maishani na kulea, kutunza na kulinda familia na mali yake kama unaweza kuchukua hela yoote kubwa na kumkabidhi mtu akununulie kitu (nyumba) ambacho utakiwa uangalifu wa hali ya juu. Kwa maoni yangu kwa wanaume waliosmart wewe upande wa kuthamini hela bado saaana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom