Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Pole sana Faith kisa chako kinafanana na changu kabisa kasoro mimi sikwenda Mwanza, wala kumpa kiasi kikubwa hivyo cha fedha ili nilikwenda kwake nikapika na kupakua but ndio hivyo ni TAPELI au ni Mario, all in all ndio maisha twapitia
Huyo ni marioooo sio tapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!! Fey na wewe ulijiachia sana yaani kamkopo kanachotosha kununua Pagare unamuachia boyfrend bila hata kumwambia muende wote kwa muuzaji?

Ila dushele linachanganyaga sana wadada hasa likimkolea
Weee wadada sisi tunapendaga mwanaume awe romantic mmmmmh Mwenzio nilikua naamshwa na sms taaaaamu asbh naachaje kudata
 
Pole sana Faith kisa chako kinafanana na changu kabisa kasoro mimi sikwenda Mwanza, wala kumpa kiasi kikubwa hivyo cha fedha ili nilikwenda kwake nikapika na kupakua but ndio hivyo ni TAPELI au ni Mario, all in all ndio maisha twapitia

Halafu ni lizuri hatari sio mvivu kitandani, + liko romantic mi ningeotaje mwenzenu mwaka mzima uko na mwanaume anakujali mi ningeota tapeli??/
 
Nilitapeliwa tu penzi basi nilikatika usiku mzima baada ya siku mbili kumbe ni tapeli couze nilimtext babe i miss u simu ikaita kupokea wewe nani?
Nikamuuliza wewe nani mimi mkewe kummbana sana nimeoa kweli natunawatoto wawili so nikakaa kimya na nikasepa zangu mazima.
Ila iliniuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kwangu

From profile picture to proper future
 
Hapa ngoja nipite kwa hasira ...erick popote ulipo kenge wewe upatwe na Janga lolote lile .......zile senti zangu ulizokua unanitapeli ili uhonge nimezisamehe ila ile elfu 85 uliyoomba nikukopeshe sitakusamehe mpaka siku ya hesabu kwa mungu baba shwaini

Sent using Jamii Forums mobile app

Mama nawe ushatapeliwa!!
 

Mama nawe ushatapeliwa!!
Shoga weeee hiyo ilikua 2014/2015 hatari fire huyo kijana nilimpenda jamani loooool yaani sipati kusema akatumia udhaifu wangu akaniingiza king weeee ....nasemaje mwanaume yeyote sasa hivi hata akiniambia niazime mia tano simpi ng'o msiniulize hata babako"! Nasema hata yeye hapati

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom