ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,144
Huyo ni marioooo sio tapeliPole sana Faith kisa chako kinafanana na changu kabisa kasoro mimi sikwenda Mwanza, wala kumpa kiasi kikubwa hivyo cha fedha ili nilikwenda kwake nikapika na kupakua but ndio hivyo ni TAPELI au ni Mario, all in all ndio maisha twapitia
Sent using Jamii Forums mobile app



