Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Yaani elfu 85 mpaka kwa Sir God jamani. Ina maana hukuwahi kumpa zawadi yoyote ya maana?!
Hujaelewa ni kwamba huko nyuma nilikuaga najitolea vitu kadhakadha hivi ila nimesamehe ....sema hiyo themanini ilienda kwa njia ya nikopeshe so nilimkopesha ni lazima ilipwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wanawake mna roho mbaya sana.. Yaani elf85 unataka mkalipane kwa MUNGU BABA? Yani wewe raha yako ni kumuona mshikaji anazamishwa kuzimu

Alafu hapo ukute mwamba alishakugharamia mazaga ya malaki lakini kwa makusudi kabisa Umesahau.

Young kilimanjaro
 
Kweli wanawake mna roho mbaya sana.. Yaani elf85 unataka mkalipane kwa MUNGU BABA? Yani wewe raha yako ni kumuona mshikaji anazamishwa kuzimu

Alafu hapo ukute mwamba alishakugharamia mazaga ya malaki lakini kwa makusudi kabisa Umesahau.

Young kilimanjaro
Mmmh kwa huyo mtu wacha nikae kimya niliingia shimo LA moto anilipe tu hiyo pesa simsamehe hata iweje .....hizo tulizopeana kwa mahaba ziende tu ila sio nilizomkopesha alipe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milioni zangu 2 na nusu bado sijalipwa adi sasa na mchepuko kwa njia ya mkopo na.sasa miaka miwili. Ananipiga chenga...anaona kama papuchi ndo dawa
Halafu wao elfu85 wanashtaki kwa Muumba
 
Milioni zangu 2 na nusu bado sijalipwa adi sasa na mchepuko kwa njia ya mkopo na.sasa miaka miwili. Ananipiga chenga...anaona kama papuchi ndo dawa
Ukimkopesha mwanamke jiandae kumla papuchi na ndio umeshainunua kwa pesa uliyomkopesha.

Ukiweza mpe na mimba kabisa ili ujilipe vizuri.!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu ni lizuri hatari sio mvivu kitandani, + liko romantic mi ningeotaje mwenzenu mwaka mzima uko na mwanaume anakujali mi ningeota tapeli??/
Huyo hajakutapeli mtafute umsikilize,nahisi kuna tatizo lilimkuta as man akaamua kufa na tai shingoni, kama bado hujaolewa mtafutr umsikilize huyo ni mtu mzuri bado naamini hivyo,usihukumu haraka hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom