Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Nilishawahi kutapeliwa na siku niliyojua jamaa ni tapeli mapenzi yaliishia siku hiyo hiyo. Ni mwaka wa pili sasa toka anitapeli namuona tu anavyokula bata ila laki 7 yangu hataki kunilipa na angejua mwenzie ninavyobangaiza angenirudishia tu yani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha

Dah, Anko mtoto wa mjinj kama ww ulitapeliwa?
Au mapenzi kunogaa....

Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi kutapeliwa na siku niliyojua jamaa ni tapeli mapenzi yaliishia siku hiyo hiyo. Ni mwaka wa pili sasa toka anitapeli namuona tu anavyokula bata ila laki 7 yangu hataki kunilipa na angejua mwenzie ninavyobangaiza angenirudishia tu yani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigua Je muda wote kwenye mahusiano yenu hujawahi kumtapeli zaidi ya lakisaba indirect na yeye akapotezea?mdai hakuna mwanaume anapenda kudaiwa na mwanamke atakulipa tu labda kama bado unampenda.
 
Sikuwahi hata siku moja. Huyu tapeli Hana aibu maana issue ilifika mpaka Polisi na bado akazingua kulipa sasa utasema hapendi kudaiwa? Tena hapo siko mwenyewe watu kibao wanamdai
Mzigua Je muda wote kwenye mahusiano yenu hujawahi kumtapeli zaidi ya lakisaba indirect na yeye akapotezea?mdai hakuna mwanaume anapenda kudaiwa na mwanamke atakulipa tu labda kama bado unampenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kameneja flan kalijitusu kakaingia chaka kakaliwa siku2 mfululizo kisa tuljutana kwe mazingira ya gentleman nanukia ka jini
kakadata kakaoza hadi leo anashangaa alnipaje kyuma ....na gari ya office akatia fulltank nkapiga ela ya ltr80
that was 3 2yrs ilopita

wengine sisi watoto wa mbwa hatunaga pesa wala tym
yani nawaangalia nacheka hiii 😂😂
 
Mleta mada, huyo jamaa yako hakukutapeli, kuna yaliyomsibu, akashindwa kukwambia.. Trust me, ukipata nafasi ya kuongea nae taratibu, ataweza kukujuza, ila huyo sio tapeli
 
Mimi niwe mkweli sijawahi kumtapeli mdada yeyote hela ila huwatapeli papuchi zao, nikishagonga tu napotea kwa speed ya bodaboda kudadeki.


Ndukiiiii

Tena bodaboda yenyewe ni ile boxer nyekundu.

Maendeleo hayana chama
 
Tatizo kubwa dada zetu mkiwaona ma handsome tu tiyari mnaroa, sisi wauza dagaa wakavu sokoni kariakoo mnatuona kama mavi ya wahindi tu, wengine wanababaika tu kwa rangi za chungwa, wengine wanababaika kwa miili ya kutengeneza, yaani mtu akivaa ka tishati hivi cheni na mikono kama chizniga na tatoo imetulia pale baaas chini kumeroa.

Hujui huyu ni nani na anafanya nini wee hayo hayakuhusu. Mi zamani nilivyokuwa ninaishi Temeke dada mmoja hivyo hivyo tu apo na kazi nzuri kaja kumpenda hendisam boy mmoja hivi, jamaa hatulii leo dar kesho Arusha wiki ijayo yupo Mbeya, siku tunasikia ukelele Dada wa watu masikini analia kuuliza kapigiwa simu na Polisi Arusha afanye utaratibu akachukue mwili wa mume wake, ni jambazi ameuwawa wakati wanatupiana risasi na polisi, Polisi waliangalia simu wakakuta namba imeseviwa my sweetheart, wakapiga.

Dada zangu tafuteni mapenzi ya kweli mupunguze tamaa zitawauwa.
 
Ungemsikiliza kwanza anajambo Gani la kukuambia. Wewe hukumpa nafasi hata kidogo. Ulijudge haraka Sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom