Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

Duh!! Fey na wewe ulijiachia sana yaani kamkopo kanachotosha kununua Pagare unamuachia boyfrend bila hata kumwambia muende wote kwa muuzaji?

Ila dushele linachanganyaga sana wadada hasa likimkolea
Alijisambaza sana
 
Nilchokiona naona jamaa kuna jinsi hela ilimponyoka ko baada ya kukosa pagale akaona apotee inaezekana so tapel ila kuna kitu kilimsibu mda ule ulitakiwa umdodose ujue nn kilimpata na pengine labda anatia huruma huwez jua mbona alionyesha kukupenda na gharama alitoa yy lakn hzo hela angekuwa tapel angekushawish uchukue lakn ulichukua kwa mapenzi yako emu mfatilie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitapeliwa tu penzi basi nilikatika usiku mzima baada ya siku mbili kumbe ni tapeli couze nilimtext babe i miss u simu ikaita kupokea wewe nani?
Nikamuuliza wewe nani mimi mkewe kummbana sana nimeoa kweli natunawatoto wawili so nikakaa kimya na nikasepa zangu mazima.
Ila iliniuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Miuno feni kukata.....Uno la kibao kata, secreto!
 
Huyo hajakutapeli mtafute umsikilize,nahisi kuna tatizo lilimkuta as man akaamua kufa na tai shingoni, kama bado hujaolewa mtafutr umsikilize huyo ni mtu mzuri bado naamini hivyo,usihukumu haraka hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja hamnaga tapel wa hvo inaezekana kuna makubwa yalimsibu sasa kwa sababu watu wanatofautiana kwenye mapokeo ya mambo bas naye alifanya alivojua tapel gan mwaka mzima na anakuhudumia vzur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungejaribu kumtafta umsikilize hata msipokuwa wapenzi lakn angalau ujue ilikuaje na ni nn kilimsibu kama angekuwa tapel asingekuona na kuanza kulia kwan tapel anamda wa kulia lakn isitoshe hela ambayo mliitumia ndan ya mda huo sidhan kama inalingana na 5 M kwa mawazo yangu mm lakn hyo so tapel bhana ila n mawazo yangu
 
Ungejaribu kumtafta umsikilize hata msipokuwa wapenzi lakn angalau ujue ilikuaje na ni nn kilimsibu kama angekuwa tapel asingekuona na kuanza kulia kwan tapel anamda wa kulia lakn isitoshe hela ambayo mliitumia ndan ya mda huo sidhan kama inalingana na 5 M kwa mawazo yangu mm lakn hyo so tapel bhana ila n mawazo yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
sina uhakika maana sikuwahi kuongea nae
 
Ungejaribu kumtafta umsikilize hata msipokuwa wapenzi lakn angalau ujue ilikuaje na ni nn kilimsibu kama angekuwa tapel asingekuona na kuanza kulia kwan tapel anamda wa kulia lakn isitoshe hela ambayo mliitumia ndan ya mda huo sidhan kama inalingana na 5 M kwa mawazo yangu mm lakn hyo so tapel bhana ila n mawazo yangu

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT

Labda Nimpe nafasi tuongee ila sijui kama naweza kuongea nae bado nina hasira sana
 
Aisee wanaume Mungu anawaona
Matapeli hamtoiona pepo kwakweli,kuwa wakweli sijui wanafeli wapi hawa wenzetu

Pole faith huenda katepeliwa naye na mwanamke tapeli.
 
Nilitapeliwa tu penzi basi nilikatika usiku mzima baada ya siku mbili kumbe ni tapeli couze nilimtext babe i miss u simu ikaita kupokea wewe nani?
Nikamuuliza wewe nani mimi mkewe kummbana sana nimeoa kweli natunawatoto wawili so nikakaa kimya na nikasepa zangu mazima.
Ila iliniuma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa umepata faida gani kunianika humu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimambo ya kawaida sana.inawezekana jamaa sio tapeli bali nimambo tu yalijitokeza akashindwa kukuface.usikute nayeye alilizwa uko alikoenda sasa si unajua tena kiume inabidi ukubali kupoteza kimoja.Angekua tapeli ungemwona toka mwanzo na isitoshe wewe ndo uliyeanza kuja nailo wazo la mkopo ila yote kwayote ayo mambo yako kila sehemu kwa wanaume na wanawake.Dunia yasasa usimwamini mtu yoyote awe mke au mume.pole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom