safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,183
- 15,866
Basi tuseme InshAllah...
Allah Akbar.
Basi tuseme InshAllah...
Allah Akbar.
Mimi si msomi...nimekiri.Na wewe ulitakiwa uyachukue huko waliko ya toa wao.
Ushawahi kusoma "Elimu ya uhakiki wa habari ?"
Wewe huwa unatumia vigezo gani kuthibitisha kama habari fulani ni ya kweli au si ya kweli ?
Leo sitaki uniambie, "Nitakujibu siku nyingine"
Nipo ...
Good respond.Mimi si msomi...nimekiri.
Naomba niishie hapo.
Mimi si msomi...nimekiri.
Naomba niishie hapo.
Hahaha...sijaona nilipokosea.Kukiri kama wewe si msomi,huwa tunasema ni wewe ni nusu ya msomi.
Unachotakwa ukiri hapa ni kwamba,umekosea.
Nipo ....
Nilkuwa na stress kama zoteKwanini??
Hahaha...sijaona nilipokosea.
Basi ukazidi kutabasam siku zote...😊Nilkuwa na stress kama zote
Ulicho andika kimenifanya tu nifurahi
furaha yangu ingine ni like na quote yako
Wakati mwingine..Hili ni tatizo pia. Kikiri kwako kama wewe si msomi kumeanzia katika ile kauli uliyoichukua kutoka kwa wale uliowasikia.
Nikufundishe neno zuri .....?
Wakati mwingine..
Ahsante sana.
Basi ukazidi kutabasam siku zote...😊
Naomba ni anze kwa kucheka kidogo "haha haha haha.." sasa mkuu niliwahi kuambiwa kuwa siku ya kwanza pale unapozikikwa kaburini, anasikia maongezi yote yanayo endelea na wewe pia uonatoa sauti watu hawakusikii, wanaosikia ni wanyama na wadudu.Uwa nikikaa natafakari sana juu ya usiku wa kwanza kaburini uwa nakosaga amani, namaanisha siku ya kwanza kuzikwa.
Natafakari juu ya hatma yangu na Allah itakuwaje? Dunia ya Leo ambayo ukiwa macho tu unatenda dhambi,ukilala unatenda dhambi.
1.rushwa
2.riba za mikopo.
3.michezo haramu ya kubet
4.mtaani huku tunazini kila siku mikia ya hatari.
Kweli nimeamini kizazi hiki ni kigumu sana.
Tafakari chukua hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ina viumbe wa ajabu sana sasa wew hapa Umeandika nini,unapo andika Quran ni mwongo wa watu wakina nani kwamba mimi sipo acha ubaguzi wa kifala halafu mimi najua Quran kupita hata wew, Binafsi kabla sijapitiwa na usingizi lazima nisome Quran pia kisha nifungulie kwenye simu nisikilize na huu ni utaratibu wangu.
Unajuwa haya mafundisho ya hizi dini ni ya kipumbavu sana kama hautumii akili kufikiri.Umeshawahi kujiuliza ulikuwa wapi kabla ya kuzaliwa jibu hakuna anayejuwa.Kwa sababu haukuwepo and the same ukifa unakuwa haupo
iPhone 7plus
Dunia ina viumbe wa ajabu sana sasa wew hapa Umeandika nini,unapo andika Quran ni mwongo wa watu wakina nani kwamba mimi sipo acha ubaguzi wa kifala halafu mimi najua Quran kupita hata wew, Binafsi kabla sijapitiwa na usingizi lazima nisome Quran pia kisha nifungulie kwenye simu nisikilize na huu ni utaratibu wangu.
you can't sense anything ukiwa umekufa nothing to worry.
nini maana ya kufa..?Who told you so??!!😫😫😫
Naomba ni anze kwa kucheka kidogo "haha haha haha.." sasa mkuu niliwahi kuambiwa kuwa siku ya kwanza pale unapozikikwa kaburini, anasikia maongezi yote yanayo endelea na wewe pia uonatoa sauti watu hawakusikii, wanaosikia ni wanyama na wadudu.
Baada ya watu kukufukua unasikia watu nanaondoka, unazidi kupiga kelele hawakusikii. shughuli anazia hapo watu hawapo wanakuja wale wanyama na wadudu ambao uliwauwa kwa makusudi kwa mfano tandu, ndege kama kuku na wengineo wanaaza kukushambulia...
hiyo ndio siku ya kwanza...jiandae kukiona cha moto...