IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Uwa nikikaa natafakari sana juu ya usiku wa kwanza kaburini uwa nakosaga amani, namaanisha siku ya kwanza kuzikwa.
Natafakari juu ya hatma yangu na Allah itakuwaje? Dunia ya Leo ambayo ukiwa macho tu unatenda dhambi,ukilala unatenda dhambi.
1.rushwa
2.riba za mikopo.
3.michezo haramu ya kubet
4.mtaani huku tunazini kila siku mikia ya hatari.
Kweli nimeamini kizazi hiki ni kigumu sana.
Tafakari chukua hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafakari juu ya hatma yangu na Allah itakuwaje? Dunia ya Leo ambayo ukiwa macho tu unatenda dhambi,ukilala unatenda dhambi.
1.rushwa
2.riba za mikopo.
3.michezo haramu ya kubet
4.mtaani huku tunazini kila siku mikia ya hatari.
Kweli nimeamini kizazi hiki ni kigumu sana.
Tafakari chukua hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app