Umeshawahi fikiria usiku wako wa kwanza kaburini?

nini maana ya kufa..?

Tunazungumzia juu ya kifo cha mwanadamu.

Definition ya kibaiolojia ni kukoma kabisa kwa utendaji wa "systems" zote za mwili.

Definition ya kidini ni roho na mwili kutengana, na roho kwenda Barzakh (soul grave) na mwili kubaki hapa duniani kwa mipango mingine.
 
Tunazungumzia juu ya kifo cha mwanadamu.

Definition ya kibaiolojia ni kukoma kabisa kwa utendaji wa "systems" zote za mwili.

Definition ya kidini ni roho na mwili kutengana, na roho kwenda Barzakh (soul grave) na mwili kubaki hapa duniani kwa mipango mingine.
ninayomaanisha ni hiyo ya kibaiolojia nafikiri utakuwa umeshapata jibu
 
ninayomaanisha ni hiyo ya kibaiolojia nafikiri utakuwa umeshapata jibu


Hapa hatuzumgumzi juu ya mada za kibaiolojia tunazungumza juu ya mada za kifo kwa mintarafu ya dini yaani maana ya kifo kwa upande wa dini. Kwani Baiolojia inatambua kitu kinachoitwa "roho".??
 
Hapa hatuzumgumzi juu ya mada za kibaiolojia tunazungumza juu ya mada za kifo kwa mintarafu ya dini yaani maana ya kifo kwa upande wa dini. Kwani Baiolojia inatambua kitu kinachoitwa "roho".??
kama baiolojia haitambui basi na mimi sitambui! Siafikiani na maswala ya kiroho hapo ndipo uwezo wangu ulipoishia
 
Halafu mimi sikuomba kuzaliwa " kwa hiyo sioni kama ni busara kupangiwa mikakati na kuifuata wakati huu Uhai sikuuomba wala sijawahi kuwa na time nao hapo kabla


Kama hukuomba uzaliwe basi jitoe roho au ujiue kwa sababu hujui faida ya kuwepo kwako hapa duniani upoupo tu bila kujitambua!!?.


I am sorry, Wasiojitambua ni wanyama lazima sisi tuwe tofauti nao.
 
Kwani kabla hujazaliwa OK tusifikirie kwny kaburi tuanzie ulipokua tumboni kwa mama yako ulikua unajua nini kinaendelea??
 
Hivi kweli hadithi mlizozokuta hapa Duniani mmeziamini kabisa bila kuchekecha akili tafuta basi hata mtu aliyewahi kuzimia basi muulize alijisikiaje mda huo wakati amezimia
 
Nyie si ndio mkizikwa tuu anakuja bonge jokaaaa kukuviringisha halafu anakuja malaika mwenye bonge runguu anakupiga kichwani puuuh!!! Halafu anakuuliza "ulifanya nini duniani"...duuh kama ndio hivyo laz'ma uwaze saaana aseee!!!
Acha upotoshaji soma na ujifunze,kwa mujibu wa imani yangu Rungu ni kwa wale waovu,pia Rungu linawahusu watu wote bila kujali we wa imani gani,km haukumjua Allah Rungu linakusu so hata we linakuhusu pia.,kutojua sheria haimaanisha upewe msamaha.

Imani ya kweli unaisikia lakini unadhara na kukejeri bila kutafuta ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naanzaje kujipa tabu ya kuwaza waza vitu kama hivyo " Kwani kabla sijazaliwa nilishawahi kuwaza duniani nitakuwa na maisha gani !?

Halafu mimi sikuomba kuzaliwa " kwa hiyo sioni kama ni busara kupangiwa mikakati na kuifuata wakati huu Uhai sikuuomba wala sijawahi kuwa na time nao hapo kabla

Sent using Jamii Forums mobile app
Umepata uhai itafute iliyo ya kweli ya hakika,shukuru kwa Allah umeumbwa binadamu VP ungekuwa mbuzi/nzi ungekuwepo Leo?

Nusura,haipo juu yako km hutaki kuitambua iliyokweli.,acha kejeri na,kashfa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ni kwamba siku yako au muda wako wa kwanza kaburini unaanza mara tu unapofariki, yaani roho yako inapoachana na mwili na roho kwenda ndani ya kaburi lake linaloitwa Barzakh.

Mwili nao unaweza kuzikwa katika kaburi la kimwili yaani ardhini au unaweza usizikwe kabisa kwa sababu kuna miili ya watu wengine huwa haizikwi bali huchomwa moto au hukwatwa vipande vipande na kulishwa tai (sky burial) nk.

Roho ya mtu inapokuwa ndani ya Barzakh inakuwa haina muda (time less) kwa sababu muda ni kitu kinachotuhusu sisi tuliokuwahai pia roho huko hazili chakula kama tunavyokula tuliokuwahai nk, na ndiyo maana siku ya kufufuliwa kwenda kusimama hukumu (yaumul qiyama) tukiulizwa tulikaa Barzakh muda gani hakuna atakayejua, kwani muda utaonekana ni kama masaa machache tu!!.

Roho inapokuwa ndani ya Barzakh inakuwa kama vile mtu unapokuwa usingizini hivyo unaweza kusema kifo ni usingizi mzito (deep sleep) wa roho ndani ya Barzakh unaofanana na usingizi "mwepesi" tunaolala na kuamka hapa duniani.

Adhabu au raha za roho zinaanzia katika Barzakh mara moja roho inapoingia humo, kama hapa duniani ulikuwa mwema basi utaanza kuonja raha na starehe za peponi halikadhalika kama ulikuwa muovu utaanza kuonja "moto" wa jehanamu.

Mungu atusaidie tutende mema ili tuonje starehe za peponi na mwishowe siku ya kiyama tuingie peponi. Amin yaa rabb alalamiin.
Mkuu haya mambo umejuaje??
Au kuna mwana alikufa akaja kukwambia??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom