Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Yani hata screen shot ukipiga inadunda,haifai kitu!! Ni kubaya jamani kunatisha! Halafu ukiingia usizibe camera na kidole wanaweza kuchukua fingerprint,na pia nahisi idara za usalama karibia zote macho yao yapo kodo kule kupiga doria...japo hata hao madeveloper wao ni noma sana!
 
Leo nimetembelea huko deep web... dah kweli hapa duniani MWOGOPE SANA Mungu na technology
 
Aisee! Mkuu ww kweli umeingia labda uwape onyo!
 
Nitaingia tena nitaleta taarifa niliogopa kuzitowa kwa watu kwa mana nilikuwa nahofia ila kusema ukweli kule ni noma
 
umejitahidi sana mkuu.
Nafikiri next time utaelezea habari za Silk road.
Kuhusu browser ipo inayoingia huko iitwayo ONION BROWSER, inapatikana playstore.
Hakikisha una weledi wa kutosha kabla ya kuingia huko. Asante
Mfano mzee na namna ya kuingia huko.
 
Umevuta madawa ya dark web?
 
View attachment 681897
Nilitumia PC. Kwa simu sijawahi kujaribu. Labda kama wana app yao ila kwa PC lazima u-download browser ya TOR ndio utafika huko.
Kwa upande wa simu unahitaji application mbili.
Orbot - ku-establish vpn au bridge connection
Orfox - ku-browse

For starters unaweza kutembelea deepweblinks.org kupata baadhi ya links zilizopangiliwa katika different categories

Search engine kama duckduck to go etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…