Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Nimeingia kwa dakika chache tu, nilipoingia jamiiforum ikagoma kufunguka. Ilibidi niitoe(uninstall) tor app. baada ya hapo mambo yalikwenda sawa.
Kwa kifupi nimeshindwa kuitumia tor.
 
Jazakharah khair...ngoja nihifadhi huu uzi!!!
 
Kama hujawahi kuingia usije ukajaribu kabisa huko ni zaidi ya kuzimu hakufai, narudia tena hakufai kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…