Nimeingia kwa dakika chache tu, nilipoingia jamiiforum ikagoma kufunguka. Ilibidi niitoe(uninstall) tor app. baada ya hapo mambo yalikwenda sawa.
Kwa kifupi nimeshindwa kuitumia tor.
Kwani canera tunaziba je? Kufunga jicho la camera ktk hii device yangu ama?
Ninachoogopa zaidi kuthubutu kuingia huko ni hili tisho la kukwaa virus. Hayo mengine ni ya kawaida tu.