Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Tupe experience basi
 
Curiosity killed the cat
dead. I am just gonna stick being an ordinary dude with ordinary browsers. My world is darker enough why add some more mambojamboz! Leave me alone ooo.
 
Nilifika huko
 

Torch search engine vile vile ni nzuri
 
Nilijua hii inshu nilipocheki movie ya Dope, dogo alipotaka kusell drugs akampelekea jamaa mmoja mzungu mtaalam akawambia wauze thru dark web (deep web) ndio nikajua kumbe kuna ulimwengu mwengine wa Internet tofauti na huu tuliouzoea..
Yah kwenye movie inaonekana sana, nimeichek pia kwenye Quantico pale Perish alipokosa mtu yeyote wa kumwamini katika FBI akaamua kujielekeza huko kwenye dark web
 
Aseeee kweli kuna mambo makubwa yaani vitu navyoona hapa ni hatariii tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…