Umslpogaaz
Member
- Apr 14, 2008
- 94
- 56
Mimi askari airport ya egypt aliniomba dola 10 iliyokuwa nimeiweka katika makolokolo yale yanayopita kwenye mashine wakati wa ukaguzi....wafanyakazi wa airport ufikiri kila msafiri anazo!!!
Tena nasikia airport ya Cairo ni balaa. Kama safari yako inaanzia pale usipotoa bakishishi begi lako wanabaki nalo pale.
hii kali duh......Kinshasa Airport hawaombi; wanadai. Kwenye sehemu ya ukaguzi niliulizwa: "uko tayari kulipa upite bila kukaguliwa au tumwage vitu vywko vyote kwa ukaguzi?"
Kinshasa Airport hawaombi; wanadai. Kwenye sehemu ya ukaguzi niliulizwa: "uko tayari kulipa upite bila kukaguliwa au tumwage vitu vywko vyote kwa ukaguzi?"
hilo la kubaki na begi sifahamu aisee ila jamaa wana njaa hao.....
Jamaa wana njaa kwelikweli, kuna jamaa mmoja alifika pale wakaanza kumuomba dollars sasa akawa ana dola kubwa kubwa alitaka awape kidogo kwahiyo akaacha kuwapa wakamwambia "ok". Aliposhuka Dar begi lake halikuwepo. Na kabla ya hapo alishataarifiwa na wenzake wazoefu wa kwenda huko kuwa ahakikishe anawapa yeye akadhani ni utani.
Ndo tunakoelekea hata sisi, believe me. Kipe chama cha Mabwepande miaka 10 mingine baada ya JK utaona!
Jifunzeni kutoa hata kidogo ili muongezewe.
Heheheh