hii kweli tupu,niliombwa soda pale na mama mmoja tena baada ya kusumbuliwa sana na hao maafisa uhamiaji natoka ndio na huyo mama ananiomba soda,nikamtupia dollar 2 iliyobaki njiani akaniambia haitoshi,nilitamani kumpiga ngumi,nikamuuliza kwani soda zimepanda bei hivyo siku hizi!,bado baadae nikakutana na ******* sijui walijiita usalama wa taifa pale mlango wa kutokea wakanipakazia nimebeba bwimbwi tuende ndani kwa investigation.kufika ndani wakanipiga sachi ya nguvu wakakuta hamna kitu,walipoona kuna euro za kufa mtu,wakaanza kunichelewesha tu makusudi.mwisho ilibidi niwaachie euro 100 nitimue maana nilichoka na usumbufu wao.tena mmoja wa hao askari anaitwa mujwambusi na walikua na demu mmoja.
nawaandalia kesi watarudisha hela yangu:shetani: