Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Huyo ni mvulana tu!..Aiseee hivi jamani kama tulitongozana nikaona huna sif nikakubwaga hasira za nn?wanaume bwanaaa mna nn lakini mburaaah
Uko sahihi mkuuHivi wanawake wana matatizo gani ya akili jamani? Sasa hapa kuna uzuri gani, miguu rangi ya mkaa, kutoka mapajani mpaka kichwani zeruzeru, si ukinyaa huu jamani? Kwa kweli Wema anawalostisha wanawake hapa mjini. Mwanamke kama huyu akija kosa mwanamme analia na kuanza kuwa msagaji huku akisingizia wanaume wa Dar si wanaume kumbe bahati kajifukuzia mwenyewe. Wanaume hawapendi mademu fake, never kwanza harufu tu ya mkorogo mwilini mwa demu inatufukuzisha.
Ndiyo maana mimi sichukui demu gizani kuepuka kulia na kujuta asubuhi mwanga unapotoka. Kuna mademu wengine wanaonekana weupe usiku wakiwa kwenye mwanga mdogo club, nenda naye nyumbani ukalale naye, unahamka naye asubuhi unakuta mwili mzima una rangi tofauti na huku ana ndevu, unaanza kulia kuhisi ulimkosea Mungu kwa kulala na mwanamme mwenzako kumbe ni madhara ya mkorogo tu. To hell with them.
Unaweza kuchukua hata jini kabula mkuuMademu ya kuokota ucku nuksi; unaweza jikuta hata job hupati salary increment; na kama unatafuta kazi kwingine hata interview hawakuiti ha ha ha
@Hajar: yuko makini sana mkuu Sesten Zakazaka mama wa maadili huyo hata comment zake nazikubaliUsitumie hayo makitu wala usyatamani Hajar eeeh
Cheka uongeze siku za kuishi mkuu
Alafu nasikia mkorogo siku hizi wanachanganya na jiki ndimu majani ya chai na mayai viza??Ndio aache kuigaiga hovyo, vingine haviigiki!
Duuh! PtuuuuuuuuuuAje aige na hii View attachment 836074
Kumbe ndivo ulivo ule mualiko niliokupa wa geto nimeufuta
Kumbe ulivyonialika ulijua niko kama Lupita Nyong'o eeeh?
usimtishe huoni ni rangi mbili kama amoxycillinNdio aache kuigaiga hovyo, vingine haviigiki!
Jini mahaba huyoMtu kwel huyo?
Tobaaa kama tangawiziKwa funza hawa sitaweza kuchezea mafuta ya raysView attachment 836094
Sio kwa kunifanyia hivi weweNimeona wakubwa wanafaidi