Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,044
- 34,771
Wakati Wakenya wakiendelea kuishiikiza serikali kupunguza bei ya mafuta kwa kufanya maandamano makubwa, hivi ndivyo mchora katuni wetu Meddy Jumanne anatathimini kadhia hiyo. Wewe umeona nini? Tuambie kwenye komenti. chanzo.DW Kiswahili