Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,796
- 48,044
Kumbe ndivo ulivo[emoji22] ule mualiko niliokupa wa geto nimeufutaNani kakupa ruhusa ya kupost picha yangu hapa?[emoji53]
Kumbe ndivo ulivo[emoji22] ule mualiko niliokupa wa geto nimeufutaNani kakupa ruhusa ya kupost picha yangu hapa?[emoji53]
Yote hii ni kwa hisani yako swahiba! [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwakweli una kipaji tukuka kabisa, sio kwa mabadiliko haya ya kuvutia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kumbe ulivyonialika ulijua niko kama Lupita Nyong'o eeeh?Kumbe ndivo ulivo[emoji22] ule mualiko niliokupa wa geto nimeufuta
[emoji23][emoji23]naona hutaki kunipa siri ya urembo wakoNleterewa hivi hicho kipodozi cha miguu tulichanganya na nini kingine.....mimi nakumbuka tuliweka mkojo wa sisimizi, machozi ya samaki, ulimi wa mamba, mkia wa sokwe na juisi ya pilipili kicha. Vingine ongezea [emoji12]
Nini tatizo!?.. Ila tupe siri ya hiyo picha!🙂Jaman khaaa leo nina uchungu ujue
Hata mimi nimeona hanipendi kabisa na hataki niwe mrembo kama yeye[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naona anapiga chenga nyingi kwelikweli, sijui anataka kuwa mrembo peke yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo mchanganyiko si wa kutengenezea mlipuko, kweli humpendi rafikiyo.
Aiseee hivi jamani kama tulitongozana nikaona huna sif nikakubwaga hasira za nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume bwanaaa mna nn lakini mburaaahNini tatizo!?.. Ila tupe siri ya hiyo picha!🙂
Naona hataki nijue siri ya urembo wake,thad si mtu mzuri lol!Aisee,
Cc carbamazepine
[emoji23][emoji23][emoji23]hii sitakiAje aige na hii [emoji53][emoji53][emoji53]View attachment 836074
Mimi na wewe tena best, subiri kesho nitakuletea uanze kupakaHata mimi nimeona hanipendi kabisa na hataki niwe mrembo kama yeye[emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Yote hii ni kwa hisani yako swahiba! [emoji12]
Best, hivi una akiba ya hayo mafuta ya Rays? Naomba kidogo nipake miguuni nipunguze hawa funza [emoji12][emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana bhana haiwekani yale mafuta ya Rays ndo yamefanya yote haya.
Hata mimi hilo nimeliona, sio kwa ile mixer ya nyuklia, ukipaka lazima ulipuke.Naona hataki nijue siri ya urembo wake,thad si mtu mzuri lol!
PersonDifferent colour one people
Ewaaaa haya ndo maneno sasa,na mimi nataka kuwa kama amoxylline[emoji23][emoji23]Mimi na wewe tena best, subiri kesho nitakuletea uanze kupaka
Hata mimi hilo nimeliona, sio kwa ile mixer ya nyuklia, ukipaka lazima ulipuke.
Tatizo lako nikikupa unaenda kuyaongezea mbwembwe, na mushkeli ukitokea lawama zote unatupa kwangu.Best, hivi una akiba ya hayo mafuta ya Rays? Naomba kidogo nipake miguuni nipunguze hawa funza [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ewaaaa haya ndo maneno sasa,na mimi nataka kuwa kama amoxylline[emoji23][emoji23]