Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Hahahaaa nawaza tu ile harufu halafu mtu akajipake mwilini!Ndio nilimsikia mtu anasema hivyo mkuu Sesten Zakazaka:
Hahahaaa nawaza tu ile harufu halafu mtu akajipake mwilini!Ndio nilimsikia mtu anasema hivyo mkuu Sesten Zakazaka:
Watumiaji wao hiyo makitu ndio maana wana jasho kali sana... Ukiwa nae karibu lazima zikutoke chafya za kufa mtuHahahaaa nawaza tu ile harufu halafu mtu akajipake mwilini!
Kwa hiyo kwa ajili ya ulimbwende wakiambiwa majiyanayooshea maiti yanaongeza urembo watayatafuta wayatumie! Wanawake banaWatumiaji wao hiyo makitu ndio maana wana jasho kali sana... Ukiwa nae karibu lazima zikutoke chafya za kufa mtu
Hahahaaa. Swahiba umeamua kufunguka leo.@Hajar: yuko makini sana mkuu Sesten Zakazaka mama wa maadili huyo hata comment zake nazikubali
Umekubali sasa maneno yangu eeh HajarAhsante sana kwa kunikubali MAMA wa watu. 🙏🙏🙏🙏
Nakubaliana nawe kwa asilimia 100 mkuu
Hahaaa. Sio wote Sesten banaaa.Kwa hiyo kwa ajili ya ulimbwende wakiambiwa majiyanayooshea maiti yanaongeza urembo watayatafuta wayatumie! Wanawake bana
Hahahaa najua Hajar kuna wengine wengi tu wanajitambua na wewe nimiongoni mwaoHahaaa. Sio wete Sesten banaaa.
Nimekubali aiseee Sesten.Umekubali sasa maneno yangu eeh Hajar
Akili zao wanazijua wenyewe hao...Kwa hiyo kwa ajili ya ulimbwende wakiambiwa majiyanayooshea maiti yanaongeza urembo watayatafuta wayatumie! Wanawake bana
Jembe hiloUmekubali sasa maneno yangu eeh Hajar
HahahaJini mahaba huyo
Akili zao wanazijua wenyewe hao...
Mkuu Sesten Zakazaka:
Mademu ya kuokota ucku nuksi; unaweza jikuta hata job hupati salary increment; na kama unatafuta kazi kwingine hata interview hawakuiti ha ha ha
Mi bwana midemu ya mikorogo dizaini ya Wema na wale wavaaji mavuzi kichwani wala sina mpango nao hata anipe bure sipigi….yaani ile harufu ya mkorogo tu mwilini mwake na mafuta ya kulainisha mavuzi ya kichwani mwake kwangu shida.