Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,715
- Thread starter
- #81
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ndala tumboni.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ndala tumboni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nleterewa hivi hicho kipodozi cha miguu tulichanganya na nini kingine.....mimi nakumbuka tuliweka mkojo wa sisimizi, machozi ya samaki, ulimi wa mamba, mkia wa sokwe na juisi ya pilipili kicha. Vingine ongezea [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi nataka tu mnitajie duka mlilonunua maana nataka kuwa murembo kama wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nleterewa hivi hicho kipodozi cha miguu tulichanganya na nini kingine.....mimi nakumbuka tuliweka mkojo wa sisimizi, machozi ya samaki, ulimi wa mamba, mkia wa sokwe na juisi ya pilipili kicha. Vingine ongezea [emoji12]
Dude kama hili inaibuka nalo ucku; asubuhi utajutaje? Kitu rangi 2 khaaa
Mademu ya kuokota ucku nuksi; unaweza jikuta hata job hupati salary increment; na kama unatafuta kazi kwingine hata interview hawakuiti ha ha haNdiyo maana mimi sichukui demu gizani kuepuka kulia na kujuta asubuhi mwanga unapotoka. Kuna mademu wengine wanaonekana weupe usiku wakiwa kwenye mwanga mdogo club, nenda naye nyumbani ukalale naye, unahamka naye asubuhi unakuta mwili mzima una rangi tofauti na huku ana ndevu, unaanza kulia kuhisi ulimkosea Mungu kwa kulala na mwanamme mwenzako kumbe ni madhara ya mkorogo tu. To hell with them.
Ha ha ha ha umenifanya nicheke sana, duh! Wanawake mna kazi kweli kweli!Different colour one people
Usitumie hayo makitu wala usyatamani Hajar eeehSana yaani ila pia ana moyo wake aiseee kuacha goti wazi tena jeusi kiasi hicho wala hakupaswa kujiacha wazi.
Alitakiwa awe na aibu kidogo.
Cheka uongeze siku za kuishi mkuuHa ha ha ha umenifanya nicheke sana, duh! Wanawake mna kazi kweli kweli!
Ndio aache kuigaiga hovyo, vingine haviigiki![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo mchanganyiko si wa kutengenezea mlipuko, kweli humpendi rafikiyo.
Aje aige na hii [emoji53][emoji53][emoji53]Aisee,
Cc carbamazepine
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aje aige na hii [emoji53][emoji53][emoji53]View attachment 836074
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aje aige na hii [emoji53][emoji53][emoji53]View attachment 836074