Umeoa Msukuma?

Umeoa Msukuma?

hehehehee.,......mi simo!😀😀

na utakuwemo
hahaaaaa utajibebaaaaaaaaaa!!!
wa ukweli mbona kule nimekwambi ninahamu na wewe ukanichunia??
hutaki eeeh!!!!
 
Taratibu dada. Utawakimbizia dada zangu wote usukumani! LOLZ!


unajua ni nini chriss, mie nilikuwa cna ndoto hata cku moja ya kuolewa na mchaga mwenzangu, mna mtazamo tofauti sana linapokuja suala la kifamilia, nawajua vizuri kaka zangu,huwezi okota kijiko manka alichokiangusha ukidhani sio wajibu wako ni wa mkeo, yaani mnapenda kutawala wake zenu sana,(mnapenda kuabudiwa) usukumani hilo halipo, mie mr anaweza kumuogesha mtoto, leo akaniambia anisaidie kupika etc, kwake ni vitu vya kawaida na ni mapenzi kunisaidia, lakini nyie kaka zangu otee kabisa hamuwezi....ndio mana namkimbizia bht huku.....
 
Na hapo ndipo sisi wafia nchi tunaposema, Tanzania is a dying nation. Tunapoteza CULTURE yetu na ndio basi tena! Unakuta mtu anaitwa Miriam Gerald....sasa unajiuliza huyu ni mzungu au mwarabu? Hana identity!

Hata mzungu aliyetoka ughaibuni kuja hapa kutalii ukikutana naye unamwambia wewe unaitwa Josephine Williams anakucheka kimoyo moyo! Hata kama unaishi mjini basi angalau jina lako liwe na identity ya asili yako...!!! Na ndipo umuhimu wa kujua japo 'basics' za kabila lako na asili yake linakuwa la muhimu!


hehehehee.haya bana mfianchi.naona una kazi kubwa kweli.Ngoja nibuni ujasiriamali.Nitaanza twisheni ya kuwafundisha watoto wenu lugha zenu za makabila na desturi.Nadhani nitamake sana money kwa sababu kwa sasa nadhani asilimia 100 ya watoto waliopo Dar hawajui lugha zao.
 
Amen..........
dada aendeleaje lakini??


anaendelea poa sana, jana ucku nimemcal anasema anamaizia matibabu then arudi kuendelea kutafuta ugali lakini ndoa kashaizika......
 
unajua ni nini chriss, mie nilikuwa cna ndoto hata cku moja ya kuolewa na mchaga mwenzangu, mna mtazamo tofauti sana linapokuja suala la kifamilia, nawajua vizuri kaka zangu,huwezi okota kijiko manka alichokiangusha ukidhani sio wajibu wako ni wa mkeo, yaani mnapenda kutawala wake zenu sana,(mnapenda kuabudiwa) usukumani hilo halipo, mie mr anaweza kumuogesha mtoto, leo akaniambia anisaidie kupika etc, kwake ni vitu vya kawaida na ni mapenzi kunisaidia, lakini nyie kaka zangu otee kabisa hamuwezi....ndio mana namkimbizia bht huku.....

there you are sweet sisy
Umangi nani anataka bana...................
acha tuolewe na magentlemen bwana, wao hata kifuli zetu hawataki kuosha, hawajui hiyo ni chachandu tu ya mapenzi!!!!!!!
 
unajua ni nini chriss, mie nilikuwa cna ndoto hata cku moja ya kuolewa na mchaga mwenzangu, mna mtazamo tofauti sana linapokuja suala la kifamilia, nawajua vizuri kaka zangu,huwezi okota kijiko manka alichokiangusha ukidhani sio wajibu wako ni wa mkeo, yaani mnapenda kutawala wake zenu sana,(mnapenda kuabudiwa) usukumani hilo halipo, mie mr anaweza kumuogesha mtoto, leo akaniambia anisaidie kupika etc, kwake ni vitu vya kawaida na ni mapenzi kunisaidia, lakini nyie kaka zangu otee kabisa hamuwezi....ndio mana namkimbizia bht huku.....

Tatizo la wanawake wa mjini akifanyiwa yote hayo anasema kapata mume b'wege!!! 🙂
 
anaendelea poa sana, jana ucku nimemcal anasema anamaizia matibabu then arudi kuendelea kutafuta ugali lakini ndoa kashaizika......

duh!!!!
life ooooooh life oooooh life
duh duh duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
unajua ni nini chriss, mie nilikuwa cna ndoto hata cku moja ya kuolewa na mchaga mwenzangu, mna mtazamo tofauti sana linapokuja suala la kifamilia, nawajua vizuri kaka zangu,huwezi okota kijiko manka alichokiangusha ukidhani sio wajibu wako ni wa mkeo, yaani mnapenda kutawala wake zenu sana,(mnapenda kuabudiwa) usukumani hilo halipo, mie mr anaweza kumuogesha mtoto, leo akaniambia anisaidie kupika etc, kwake ni vitu vya kawaida na ni mapenzi kunisaidia, lakini nyie kaka zangu otee kabisa hamuwezi....ndio mana namkimbizia bht huku.....

Na mimi Nyamayao nikimbizie huko.Nitafutie wa huko usukumani. kwa mtaji huu hawa wachga naona kama watanilostisha.
 
Tatizo la wanawake wa mjini akifanyiwa yote hayo anasema kapata mume b'wege!!! 🙂

wanawake wapumbavu/washamba na si wa mjini ndio wanaweza ku-comment hivo!!!
 
anaendelea poa sana, jana ucku nimemcal anasema anamaizia matibabu then arudi kuendelea kutafuta ugali lakini ndoa kashaizika......

Laaziz,

Don't be so sure hapo kwenye red! 🙂
 
there you are sweet sisy
Umangi nani anataka bana...................
acha tuolewe na magentlemen bwana, wao hata kifuli zetu hawataki kuosha, hawajui hiyo ni chachandu tu ya mapenzi!!!!!!!


dah, B lakini mjadala huu wa makufuli si tuliufunga kama ule wa richimondi, au ndo haufi kama ulivo wa richimondi? LOL
😀
 
Tatizo la wanawake wa mjini akifanyiwa yote hayo anasema kapata mume b'wege!!! 🙂


hao wa mjini, kwa sie wa vjjn ha2wezi sema hivyo mana tunajua maisha ni kusaidiana na tumeona wazee wetu walikuwa wanawasaidia wake zao shughuli za ndani kama kawa....
 
Na mimi Nyamayao nikimbizie huko.Nitafutie wa huko usukumani. kwa mtaji huu hawa wachga naona kama watanilostisha.

mh shemeji...dont judge a book by its cover bana.....mmh
 
Na mimi Nyamayao nikimbizie huko.Nitafutie wa huko usukumani. kwa mtaji huu hawa wachga naona kama watanilostisha.

Hasa wachaga wa Rombo, yaani nahisi wanaongoza kwa mfumo dume hapa duniani! Ila na Wakurya nao mmmmh!!
 
binghwe lekagi mabhuchilhu ghete! bhanike bhasughuma bhelele ghete!

Tafsiri yake ndo nini Mkuu?

Au Msukuma yeyote tupe maana ya hii maneno, nadhani hatukanwi mtu hapa!
 
Hey wanandugu,


Binafsi sijabahatika kufika usukumani, lakini pia sijapata kuwa na ukaribu na mwanadada wa kabila hili...!

Je watu hawa wana nini cha ziada, nijulisheni kwa faida ya wadogo zangu na waoaji wengine!

Just curious! wewe umeoa wapi? je unajuta kuoa kabila hilo? Hebu tueleze kwa faida ya wadogo zako na waoaji/waolewaji wengine.
 
Na mimi Nyamayao nikimbizie huko.Nitafutie wa huko usukumani. kwa mtaji huu hawa wachga naona kama watanilostisha.

for better for worse......
till death does us apart
rmember????? huo msalaba wako dear!!!
 
Back
Top Bottom