Umeoa Msukuma?

Umeoa Msukuma?

pakajimmy,

wanawake wa kisukuma
- ni wenye kuheshimu sana waume zao na wanaume kwa ujumla
- ni wachapa kazi sana
- ni wakarimu sana
- ni watiifu
- ni wenye ujuzi na mambo ya kujenga familia (wamefundwa)
- ni wazuri kimaumbile
- ni wajuzi wa kumridhisha mwanamume katika kila hali

duh tabu duh shida!
vipi yale mambo ya kila wiki ngomani?
Nasikia wasukuma wanapenda sana ngoma kiasi kwamba hata wakiwa wanalima au wanatwanga lazima ngoma zipigwe sana.
Naogopa kuoa mwanamke ambaye atakuwa anafuata ngoma umbali wa zaidi ya maili mia moja.
 
nimeolewa usukumani, hilo unalosema ni kweli kabisa, yaani vyasaka noma.

heeee usiniambie shostito kuna ka ukweli.........
hawa basi kama wasandawe, unaoa ukoo mzima
 
Kwa kweli wengi wao wana heshimu sana waume zao.
Pia ni wachapakazi, wapole, wakarimu, ila sio wote wenye tabia njema.
 
heeee usiniambie shostito kuna ka ukweli.........
hawa basi kama wasandawe, unaoa ukoo mzima
Usinambie shemeji yuko mbioni kumwagwa. Spidi yake naona kali kweli. Si msukuma yule?
 
Mim siijui mila hata moja ya kabila yetu na hata kuongea hiyo lugha sifahamu.Iam born town na nimekulia tauni.Mambo ya makabila siyamind Kwa hiyo kila kabila kwangu ni poa tu,hata wachina na wajapan sawa tu.

Don't you think that you have lost your identity?
 
Usinambie shemeji yuko mbioni kumwagwa. Spidi yake naona kali kweli. Si msukuma yule?
yule shemeji yako ni msukuma (chapa ya ng'ombe) haswaaaaaaaaa!!!
biggy lakini nimependa boga na maua ntayapenda tu sina tatizo
at least I now know and I shouls expect mafungu kama si makundi ya wasukuma nyumbani kwangu.........
 
Don't you think that you have lost your identity?
Lost identity? which identity are you talking about? Ninaishi kama watu wengine ,ni mtanzania safi mwenye sifa zoooote.Nimekosa nini na nimepungukiwa kitu gani.
Afu mie nakwambia hicho kizazi kinakuja kutakuwa hakuna makabila.Chukulia wewe msukuma na umeoa mnyakkyusa na mmekutana hapa dar.mmefanya kazi mpka mnakaribia kustaafu.Watoto wenu wote wako st naniiii.unategemea nini?
 
binghwe lekagi mabhuchilhu ghete! bhanike bhasughuma bhelele ghete!
 
Lost identity? which identity are you talking about? Ninaishi kama watu wengine ,ni mtanzania safi mwenye sifa zoooote.Nimekosa nini na nimepungukiwa kitu gani.
Afu mie nakwambia hicho kizazi kinakuja kutakuwa hakuna makabila.Chukulia wewe msukuma na umeoa mnyakkyusa na mmekutana hapa dar.mmefanya kazi mpka mnakaribia kustaafu.Watoto wenu wote wako st naniiii.unategemea nini?

umeamkia wapi tena.?????????
dadangu mimi endelea kumwaga mapweinti.......
nikutafute baadae??...hahaaaa..leo umecharuka kweli!!!!
 
Hahahaha! LOLZ!
Acha nicheke. Hehehehehe!
Acha uchoyo bana!

sio hivyo chris, mie mr wangu namuaminia sana(hapo tu nafurahia msukuma) lakini kwenye upande huo loo yaani wacha tu, mtu inabidi ujipange upangike na hivyo tena mie kabila tofauti bac inabidi nijikongoje nao twende sawa,wanaume wa kisukuma nawaaminia sana tena sana(wanajua kupenda/wanapendeka)..wadada sio kivileee, labda wa vijjn huko.
 
heeee usiniambie shostito kuna ka ukweli.........
hawa basi kama wasandawe, unaoa ukoo mzima

lakini mwanaume wa kisukuma anajua kupenda,anajali.....nakuombea upate msukuma dear hayo mengine ni vijimambo tu.
 
Don't you think that you have lost your identity?
😱😱!!!!!!!!!

kaamkia mujini huyu mama matesha wako.....hahaaaaaaaaaaa
Ebo tena? Siyo kitandani?

Lost identity? which identity are you talking about? Ninaishi kama watu wengine ,ni mtanzania safi mwenye sifa zoooote.Nimekosa nini na nimepungukiwa kitu gani.
Afu mie nakwambia hicho kizazi kinakuja kutakuwa hakuna makabila.Chukulia wewe msukuma na umeoa mnyakkyusa na mmekutana hapa dar.mmefanya kazi mpka mnakaribia kustaafu.Watoto wenu wote wako st naniiii.unategemea nini?
Hivi Matesha wetu atakuwa kabila gani?

umeamkia wapi tena.?????????
dadangu mimi endelea kumwaga mapweinti.......
nikutafute baadae??...hahaaaa..leo umecharuka kweli!!!!
Thats my mama Matesha! Akiamua utamkoma. Mi mwenyewe akiniamulia kama si jeuri ya valuu, naweza kulala barazani.
 
yule shemeji yako ni msukuma (chapa ya ng'ombe) haswaaaaaaaaa!!!
biggy lakini nimependa boga na maua ntayapenda tu sina tatizo
at least I now know and I shouls expect mafungu kama si makundi ya wasukuma nyumbani kwangu.........


hilo ulitegemee 101%...
 
lakini mwanaume wa kisukuma anajua kupenda,anajali.....nakuombea upate msukuma dear hayo mengine ni vijimambo tu.

Taratibu dada. Utawakimbizia dada zangu wote usukumani! LOLZ!
 
Lost identity? which identity are you talking about? Ninaishi kama watu wengine ,ni mtanzania safi mwenye sifa zoooote.Nimekosa nini na nimepungukiwa kitu gani.
Afu mie nakwambia hicho kizazi kinakuja kutakuwa hakuna makabila.Chukulia wewe msukuma na umeoa mnyakkyusa na mmekutana hapa dar.mmefanya kazi mpka mnakaribia kustaafu.Watoto wenu wote wako st naniiii.unategemea nini?

Na hapo ndipo sisi wafia nchi tunaposema, Tanzania is a dying nation. Tunapoteza CULTURE yetu na ndio basi tena! Unakuta mtu anaitwa Miriam Gerald....sasa unajiuliza huyu ni mzungu au mwarabu? Hana identity!

Hata mzungu aliyetoka ughaibuni kuja hapa kutalii ukikutana naye unamwambia wewe unaitwa Josephine Williams anakucheka kimoyo moyo! Hata kama unaishi mjini basi angalau jina lako liwe na identity ya asili yako...!!! Na ndipo umuhimu wa kujua japo 'basics' za kabila lako na asili yake linakuwa la muhimu!
 
hilo ulitegemee 101%...

in the nam eof love to my chapa ya ng'ombe hubby......ntakubaliana na hilo dear!!!

Taratibu dada. Utawakimbizia dada zangu wote usukumani! LOLZ!

ametuonesha njia na yeye kaona panatufaa acha atuite bana.....we hutaki biggy??? (kuchanganya damu) hhahhaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Na hapo ndipo sisi wafia nchi tunaposema, Tanzania is a dying nation. Tunapoteza CULTURE yetu na ndio basi tena! Unakuta mtu anaitwa Miriam Gerald....sasa unajiuliza huyu ni mzungu au mwarabu? Hana identity!

Hata mzungu aliyetoka ughaibuni kuja hapa kutalii ukikutana naye unamwambia wewe unaitwa Josephine Williams anakucheka kimoyo moyo! Hata kama unaishi mjini basi angalau jina lako liwe na identity ya asili yako...!!! Na ndipo umuhimu wa kujua japo 'basics' za kabila lako na asili yake linakuwa la muhimu!

Mfia nchi nimekuweka kiporo.....will eat you when am starving!!!
tuendeleeeeeeee
 
Back
Top Bottom