Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Yaani kweli kabisa mwanaume anapaswa kujua mzunguko wa mwanamke wake, kuna wakati sie nasi ni ving'ang'anizi sana mwanaume akiwa strong anakataa kabisa kukutana siku hizo mbaya, nakumbuka mie nilikuwa siwezi kabisa kuhesabu siku zangu hatarishi ila bf wangu ambaye sasa ni mume alikuwa kipaumbele kunihesabia ili nisipae ujauzito, ila kuna siku nang'ang'ania utadhani nini sijui inabidi jamaa ajitahidi mwishowe aruke vihunzi lol mtoto nilikuwa mbishi hatar, sasa hapo ningepata ujauzito ningesema nimeharibiwa maisha kwelimmnnhhh,
Kamanda MTM, nadhani kina dada wengi hata wa humu JF watakuja wakali hapo kwenye wadada wanajua cycle ya mayai yao. Ni mara ngapi ushasikia tarehe zimebadilika? Nadhani kwenye suala la mwanamke kupata mimba nasi wanaume tunapaswa tuchukue jukumu la lawama. Nawasifu sana wale kina dada ambao at all cost kuepusha hili watalazimisha matumizi Condom.
Mwanaume, iwe ni boyfriend au mume nadhani nasi tunapaswa kujifunza menstruation circle za wenzetu, ...nasi tukajua zipi ni Ovulation days, zipi ni danger days na zipi ni safe days...kumwachia mama/au "mchuchu" jukumu hilo ni sawasawa na kuchezea shilingi chooni. Je, akikutega...?
Suala la mtoto through unplanned pregnancy inaniwia ngumu na uchungu kuita hiyo ni "kumharibia mtu maisha."
Am always anti Abortion. Nipo makini sana linapokuja suala la kufanya mapenzi bila kinga. Inapotokea mwenzangu amepata ujauzito, nauchukulia ujauzito huo +vely, ...ni blessing ya mapenzi yetu. It happenned to me, na nilimu- encourage partner wangu azae, na hivi leo na mtoto mkubwa ninayejivunia.
Unless kuna mtu atakuja na definition nzuri, i.e mwenyewe alijipangia nini mpaka unplanned occurance ndio iwe sababu ya kumlaumu mwingine amemharibia maisha! Kabla ya hapo, ajiulize wakati wa kufanya uchaguzi wa maamuzi yake, alifikiria faida na hasara ya tendo lake, au aliingia kichwa kichwa tu?