Umenifanya nirudi JF mapema!

Umenifanya nirudi JF mapema!

hmm... we nice v wewe! hebu acha hizo bana..! unajua mwenzio nimeshalizwa kwa Aminata mrembo, nikajua mtoto wa kike kumbe ni kidume aisee!...
Eli79, unaona hii kesi bwana mdogo?. mtoto wa watu akifa ujue excel ndo chanzo! lolest..

cc. Mr Rocky, Tized, Mndengereko, utafiti, mwekundu!... hebu mchungeni mgani wangu bana! msimbazazi mpaka nitakaporudi aisee.. lol!
yaani sitaki kuamini if this is really happening.!!!!
 
daaahhh asante kwa tafsiri,ila inabidi mara moja moja niombe tuition ya kijapani kutoka kwako maanake hata wazo la hiki ni nini halikuwepo,asante my kaka and nice to meet you as well.
Hiko ni kijapan maana yake nice to meet you
 
Mkuu Excel, japo natambua una nyota ya ng'e (Scorpion)....... Pia una ngekewa...

Kuna wimbo flani niliusikiaga jamaa anaimba ..... naona kama ngekewe.... nge.. nge..kewa........Jamani naona kama ngekewe.... nge.. nge..kewa...
hmm... we nice v wewe! hebu acha hizo bana..! unajua mwenzio nimeshalizwa kwa Aminata mrembo, nikajua mtoto wa kike kumbe ni kidume aisee!...
Eli79, unaona hii kesi bwana mdogo?. mtoto wa watu akifa ujue excel ndo chanzo! lolest..

cc. Mr Rocky, Tized, Mndengereko, utafiti, mwekundu!... hebu mchungeni mgani wangu bana! msimbazazi mpaka nitakaporudi aisee.. lol!
 
Last edited by a moderator:
ahsante kwa kunielewa hapa jukwaani mimi Mndengereko ndo mtu mzuri na huwa sina makuu na huwa nawafanya mara nyingi wageni wajisiikie wapo nyumbani so karibu uwe rafiki yangu na uenjoy kunifahamu.

Kumbe shemeji aiii
 
Last edited by a moderator:
Najua hujijui kama huwa unanikosha..
Najua pia hujui kama umebarikiwa moyo wa upendo...
Sijui ni Mimi tu au na wengine wanakuona ivo?..naomba nikukute ukingalipo..
anyway umenifanya nirudi JF mapema maana nakukosa..
Am back again where I belong to..

Dah! Karibu sana kiongozi!
Ulipotea! Nampa hongera aliekurudisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom