Umenifanya nirudi JF mapema!

Umenifanya nirudi JF mapema!

Karibu pacha!
You were missed,
And you know that,ryt?
Ndo ukae sasa thio kuondoka ondoka tu kuacha wendhio wanakumisiga hivo
Nikuletee nini?
Kuna chai,kahawa,maziwa ya moto au uji wa ngano ?
Kitafunwa je? yapo maamri,visheti,kabab,na skonsi za ufuta!
At your service pacha!
 
Karibu pacha!
You were missed,
And you know that,ryt?
Ndo ukae sasa thio kuondoka ondoka tu kuacha wendhio wanakumisiga hivo
Nikuletee nini?
Kuna chai,kahawa,maziwa ya moto au uji wa ngano ?
Kitafunwa je? yapo maamri,visheti,kabab,na skonsi za ufuta!
At your service pacha!

Oh...upogo pachaangu?
asenti na nadhani ntakuwepo muda wote.
niandalie chochote...wewe tena?
 
nimehisia tu kwa sababu hata mi naupenda sana huo mji so nahisi labda wengine pia wanapapenda ndo maana nikajaribu,nimefurahi kupatia my kaka naomba basi nijipigie makofi:cheer2:na naomba basi unitransletie.
Duh...umejuaje?
napapenda sana A City...
 
nimehisia tu kwa sababu hata mi naupenda sana huo mji so nahisi labda wengine pia wanapapenda ndo maana nikajaribu,nimefurahi kupatia my kaka naomba basi nijipigie makofi:cheer2:na naomba basi unitransletie.
Hiko ni kijapan maana yake nice to meet you
 
Please kaka usifanye hivyo mi ntalia mwenzio, nimekuja humu muda si mrefu but nishakuzoea jamani dia...ukiniacha mi nitalia...Ukienda nitabaki naumia ooh jamani usiondoke. loving u much EXCEL.
hmm... we nice v wewe! hebu acha hizo bana..! unajua mwenzio nimeshalizwa kwa Aminata mrembo, nikajua mtoto wa kike kumbe ni kidume aisee!...
Eli79, unaona hii kesi bwana mdogo?. mtoto wa watu akifa ujue excel ndo chanzo! lolest..

cc. Mr Rocky, Tized, Mndengereko, utafiti, mwekundu!... hebu mchungeni mgani wangu bana! msimbazazi mpaka nitakaporudi aisee.. lol!
 
Last edited by a moderator:
Naona humtakii mema white masai, ngoja huyu mmasai mwenzie mori upande
vioo vitavunjika hapa....
kwani linapokuja kwenye suala la kukutanisha vikojoleo kuna mori tena?

hebu kamataneni mikono bana mkatuongezee idadi ya watoto ati!
Phlagiey atakuwa performer mzuri tu, so tegemea mavuno mazuri pia!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
kwani linapokuja kwenye suala la kukutanisha vikojoleo kuna mori tena?

hebu kamataneni mikono bana mkatuongezee idadi ya watoto ati!
Phlagiey atakuwa performer mzuri tu, so tegemea mavuno mazuri pia!

Haki ya mama udalali wa mapenzi unauweza
akininanii shauri yako we ndo umenambia nifanye hivo
 
hmm... we nice v wewe! hebu acha hizo bana..! unajua mwenzio nimeshalizwa kwa Aminata mrembo, nikajua mtoto wa kike kumbe ni kidume aisee!...
Eli79, unaona hii kesi bwana mdogo?. mtoto wa watu akifa ujue excel ndo chanzo! lolest..

cc. Mr Rocky, Tized, Mndengereko, utafiti, mwekundu!... hebu mchungeni mgani wangu bana! msimbazazi mpaka nitakaporudi aisee.. lol!

...aisee!!! Naona kweli upo kibaruani!! Sasa huyo nice v anataka nini, keshakuzoea..then?
 
Last edited by a moderator:
hmm... we nice v wewe! hebu acha hizo bana..! unajua mwenzio nimeshalizwa kwa Aminata mrembo, nikajua mtoto wa kike kumbe ni kidume aisee!...
Eli79, unaona hii kesi bwana mdogo?. mtoto wa watu akifa ujue excel ndo chanzo! lolest..

cc. Mr Rocky, Tized, Mndengereko, utafiti, mwekundu!... hebu mchungeni mgani wangu bana! msimbazazi mpaka nitakaporudi aisee.. lol!

mimi tu peke yake ndo mwenye mamlaka ya kukulindia pacha wako-chako changu
 
kwani linapokuja kwenye suala la kukutanisha vikojoleo kuna mori tena?

hebu kamataneni mikono bana mkatuongezee idadi ya watoto ati!
Phlagiey atakuwa performer mzuri tu, so tegemea mavuno mazuri pia!

Yessssssss mkuu endelea hivyo hivyooo!!!!
 
karibu mkuu tena jf i hope maisha yako bila ya jf yalikuwa magumu sana
 
Teh teh teh pouwa nimekuelewa nitakua makini
ahsante kwa kunielewa hapa jukwaani mimi Mndengereko ndo mtu mzuri na huwa sina makuu na huwa nawafanya mara nyingi wageni wajisiikie wapo nyumbani so karibu uwe rafiki yangu na uenjoy kunifahamu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom