Umenifanya nirudi JF mapema!

Umenifanya nirudi JF mapema!

SnowBall

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
3,052
Reaction score
2,846
Najua hujijui kama huwa unanikosha..
Najua pia hujui kama umebarikiwa moyo wa upendo...
Sijui ni Mimi tu au na wengine wanakuona ivo?..naomba nikukute ukingalipo..
anyway umenifanya nirudi JF mapema maana nakukosa..
Am back again where I belong to..
 
muda si mrefu nami excel ntapotea jukwaani,

naomba nianze kuaga mdogo mdogo,

maji yameanza kunifika shingoni, sina budi kubwaga manyanga,

watakuja wengine wenye swaga zaidi ya excel.
 
muda si mrefu nami excel ntapotea jukwaani,

naomba nianze kuaga mdogo mdogo,

maji yameanza kunifika shingoni, sina budi kubwaga manyanga,

watakuja wengine wenye swaga zaidi ya excel.

ahsante mkuu
i hope nimemkuta salama
ngoja aje...
 
Mwana mpotevu karibu nyumbani, vipi ulishiriki na pork kwenye ,majamvi mengine? Walikutimua na kukutoa nduki? Walikujambisha jambisha? The prodigal son karibu sanaaa, sisi kama Mwalimu tunakupokea tena, sema hela zetu zimeishia kuwalipa wajumbe wa bunge la katiba tungekufanyia party kama kitabu kinavoagiza. Tulijitahidi kuucheki kwenye ile ndege ya Malasia ila hatukuona jina Snowball, tukahis zile paspport feki unahusika. All in all wecome home
 
muda si mrefu nami excel ntapotea jukwaani,

naomba nianze kuaga mdogo mdogo,

maji yameanza kunifika shingoni, sina budi kubwaga manyanga,

watakuja wengine wenye swaga zaidi ya excel.
Excel hii ni serious? Kuna nini Excel
Nawachukulia watu wa jf tofauti kidogo
 
Last edited by a moderator:
Mwana mpotevu karib7 nyumbani, vipi uloshiriki na pork kwenye ,ajamvi mengine? Walikutimua na kukutoa nduki? Walikujambisha jambisha? The prodigal son karibu sanaaa, sisi kama Mwalimu tunakupokea tena, sema hela zetu zimeishia kuwalipa wajumbe wa bunge la katiba tungekufanyia party kama kitabu kinavoagiza. Tulijitahidi kuucheki kwwnyw ile ndege ya Malasiaola hatukuona jina Snowball, tukhis zileaspprt feki unahusika. All in all wecome home

lara 1 umenifanya nilie kwa kwikwi..
kiufupi I found difficulty living in another world out of JF..
I owe you a lot..
anyway ngoja aje ntakusontea ....
 
Last edited by a moderator:
muda si mrefu nami excel ntapotea jukwaani,

naomba nianze kuaga mdogo mdogo,

maji yameanza kunifika shingoni, sina budi kubwaga manyanga,

watakuja wengine wenye swaga zaidi ya excel.
Excel don u knw that i can't live without you....! cz we ndo huwa unanirahisishia hesabu zangu zote sasa mi nitafanyia wapi... rudi bhana kwenye Microsoft
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana panaitwa jamvini.Unavua vikandambili,malapa,makobazi,chachacha,viatu n.k halafu wanyoosha miguu ama kuikunja kupata vijistori,vijisoga,vijigano,vijisasili,vijitarihi n.k..
Vikikutosha unanyanyuka unavaa ulivyovivua unakwenda ulikotoka.

Yakikushinda huko basi warudi jamvini wavua ulivyovaa na kukaa kitako kupata yale uliyoyakosa.

Jamvini maskani tulivu,makutano ya wote hapakosi waja wenda na hapakauki wazuru.

Karibu.
Karibu sana.
Karibu tena pengine hutaondoka tena ajapo aliyekurudisha.
 
muda si mrefu nami excel ntapotea jukwaani,

naomba nianze kuaga mdogo mdogo,

maji yameanza kunifika shingoni, sina budi kubwaga manyanga,

watakuja wengine wenye swaga zaidi ya excel.

kulikoni jamani? SnowBall ahsante, nami nilikumiss pia. Lol.
 
Last edited by a moderator:
lara 1 umenifanya nilie kwa kwikwi..
kiufupi I found difficulty living in another world out of JF..
I owe you a lot..
anyway ngoja aje ntakusontea ....

muda si mrefu nami excel ntapotea jukwaani,

naomba nianze kuaga mdogo mdogo,

maji yameanza kunifika shingoni, sina budi kubwaga manyanga,

watakuja wengine wenye swaga zaidi ya excel.

😕
 
Last edited by a moderator:
muda si mrefu nami excel ntapotea jukwaani,

naomba nianze kuaga mdogo mdogo,

maji yameanza kunifika shingoni, sina budi kubwaga manyanga,

watakuja wengine wenye swaga zaidi ya excel.
excel swaiba ukiondoka tu na mie nasepa,afu tutakua tunakutana kule ktaa kwenye eneo letu la kujidai,
 
Ndo maana panaitwa jamvini.Unavua vikandambili,malapa,makobazi,chachacha,viatu n.k halafu wanyoosha miguu ama kuikunja kupata vijistori,vijisoga,vijigano,vijisasili,vijitarihi n.k..
Vikikutosha unanyanyuka unavaa ulivyovivua unakwenda ulikotoka.

Yakikushinda huko basi warudi jamvini wavua ulivyovaa na kukaa kitako kupata yale uliyoyakosa.

Jamvini maskani tulivu,makutano ya wote hapakosi waja wenda na hapakauki wazuru.

Karibu.
Karibu sana.
Karibu tena pengine hutaondoka tena ajapo aliyekurudisha.

Ni Kweli mkuu
ukitaka ujue uzuri wa jamvi nenda kusikokuwa na jamvi..
nashukuru I am back again..
ila akikuja ntakuonyesha...stay tuned
 
Karucee njoo haraka wahtajika huku, utoe jamvi barazani SnowBall aketi kitako tumuulize huko alikokua katuletea nini?

Duh...I am speechless
is it really that the chemistry between us is so easily visible to everyone or just guessing?
ila akija tu ntakusontea ...though nammiss sana Karucee pia.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom