Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

mdada kachukua simu ya mpenzi wake akaibip ili aone mpenzi wake kamsev kwa jina gani. Akajua litatokea jina kama Wife, honey, sweety au mpenzi. Lahaula jina lililotokea Agustino Fundi Majeneza.
hahahaaaa... hii kali sana aiseee
 
nimecheka mpaka watu wameniona chiz fulan, cyo vizur wanaume wabaya sana mtaunguzwz jehanum na mshahara ni hapa dunian
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…