Nimefungua aplicatin ya contact.
Nikafungua option ya kuongeza contact.
Nikajaza sehemu ambayo inatakiwa uandike namba ya mobile.
Nikajaza sehemu ya kuandika jina.
Alafu nikaenda ktk kipengele ambacho kimeandikwa Save.nikaibinya.
Ile namba na jina yakawa yamesaviwa ktk simu.
Hivyo ndivyo tunavyosave Namba ya simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.