Umemsave vipi mpenzi wako kwenye simu yako?

Nimemsave kwa jina la kike ili hata kidudumtu yeyote akishika simu yangu, asiijue namba ya my Love
 
nimemsave INCHARGE
sababu ndo incharge kwa sasa make tukiachana huwa naedit namba bali jina la incharge linabak pale pale. km ilivo kwa mwalimu mkuu,akihama cheo hubaki pale pale!
 
nimemsave INCHARGE
sababu ndo incharge kwa sasa make tukiachana huwa naedit namba bali jina la incharge linabak pale pale. km ilivo kwa mwalimu mkuu,akihama cheo hubaki pale pale! so nikimpa mwingine ndo huwa incharge kwa muda huo . . .
 
Back
Top Bottom