Umemmis nani hapa Jf?

Me nimemmiss Washawasha kwa kauli yake ya nalog off, mwita25 na faiza foxy kule jukwaa la stress kwa roho zao za ukauzu kuitetea thithiem...! Teh!

hakuna kiumbe namiss kama Malaria Sugu, nakumbuka udini wake na ubaguzi wake.
RIP MM!!
 

Thanx madam...na mimi nimekumisije dear wangu...ubusy kila ukisema unapungua ndio kwanzaa unazidi.
 
mutanisamehe kiukweli kutoka ndani ya uvungu wa moyo wangu nimemmis Elizabeth dominic
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…