wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
WAKUU WAKUU, hii ni wake up call kwa waafrika wote ( black people). Wakuu inatakiwa tujifunze sana juu ya mtu mweusi, kumbe darasani tulikua tunajifunza kuhusu historia za uvumbuzi na kuambiwa wazungu ndo wamevumbua karibia technology zote duniani, utafiti unaonesha kumbe watu weusi ndo wamefanya mambo mengi nyuma ya pazia na wazungu wakawa wana copy na ku paste na kudai kwamba wamevumbua wao. Basi na sifa zote zikawa zinaenda kwao.
Kwanza kabla ya kuelezea picha husika naomba tuelewe kwamba misri aliishi mtu mweusi, na kila kitu kikichojengwa misri kimejengwa na mtu mweusi, kuanzia pyramid hadi uvumbuzi wa umeme wa DC. ni ngumu sana mwafrika mwenzangu kuamini hivo kwa sababu vitabu vyote vya historia vimeandikwa na mzungu, na mzungu hakutaka superior history ya mtu mweusi ieneee duniani. Lakini wakuu watu weusi ndo tume originate everything great. Sipendi kubishana sana. Nendeni huko misri mfanye udadisi. Unaambiwa waarabu waliopo misri sa hv ni wa juzijuzi tu miaka kama 1500 iliyopita. Blacks wameishi mda mrefu sana misrina wamefanya vitu vingi.
Ushahidi, ukienda sudan utakuta bado kuna vile vi pyramid vidogo ambavyo vinaashiria kwamba kumbe ulikua ni utamaduni wa watu mweusi. Kama mnakumbuka wakush, hao ni watu weusi walioishi huko sudan nao walikua wanatengeneza pyramid.
Turudi kwenye mada husika ya hiyo picha. Kwa wale mulio soma sayansi kama mimi, mnakumbuka mambo ya cathode ray tube. Unaambiwa kuna jamaa walijua wanaitwa ma priest walikua wanatumia vyombo vya umeme. Kumbe umeme ulikuepo toka enzi hizo, tumedangaywa kwenye vitabu vya sayansi kwamba umeme mara sijui ulivumbuliwa na kina faraday. Mara sijui kina mr white. Hao wote waliukuta kwenye historia ya egypt. ndo wakaanza kuufanyia research.
Pia kama mlishawahi kusikia kuhusu baghdad battery, kumbe battery ni idea ya miaka mingi tu huko ancient egypt( black egypt). Wazungu walikutana na hizi vitu baada ya kupekua pekua historia za mwafrika huko misri.kwa hio wakikutana na kitu ndo wanakifanyia utafiti.
Irony: waafrika tumetengeneza kila kitu na bado tunadharaulika
Kwanza kabla ya kuelezea picha husika naomba tuelewe kwamba misri aliishi mtu mweusi, na kila kitu kikichojengwa misri kimejengwa na mtu mweusi, kuanzia pyramid hadi uvumbuzi wa umeme wa DC. ni ngumu sana mwafrika mwenzangu kuamini hivo kwa sababu vitabu vyote vya historia vimeandikwa na mzungu, na mzungu hakutaka superior history ya mtu mweusi ieneee duniani. Lakini wakuu watu weusi ndo tume originate everything great. Sipendi kubishana sana. Nendeni huko misri mfanye udadisi. Unaambiwa waarabu waliopo misri sa hv ni wa juzijuzi tu miaka kama 1500 iliyopita. Blacks wameishi mda mrefu sana misrina wamefanya vitu vingi.
Ushahidi, ukienda sudan utakuta bado kuna vile vi pyramid vidogo ambavyo vinaashiria kwamba kumbe ulikua ni utamaduni wa watu mweusi. Kama mnakumbuka wakush, hao ni watu weusi walioishi huko sudan nao walikua wanatengeneza pyramid.
Turudi kwenye mada husika ya hiyo picha. Kwa wale mulio soma sayansi kama mimi, mnakumbuka mambo ya cathode ray tube. Unaambiwa kuna jamaa walijua wanaitwa ma priest walikua wanatumia vyombo vya umeme. Kumbe umeme ulikuepo toka enzi hizo, tumedangaywa kwenye vitabu vya sayansi kwamba umeme mara sijui ulivumbuliwa na kina faraday. Mara sijui kina mr white. Hao wote waliukuta kwenye historia ya egypt. ndo wakaanza kuufanyia research.
Pia kama mlishawahi kusikia kuhusu baghdad battery, kumbe battery ni idea ya miaka mingi tu huko ancient egypt( black egypt). Wazungu walikutana na hizi vitu baada ya kupekua pekua historia za mwafrika huko misri.kwa hio wakikutana na kitu ndo wanakifanyia utafiti.
Irony: waafrika tumetengeneza kila kitu na bado tunadharaulika