Umeme ulipokatika!!

LIZZY

Haya wee embu niambie naona unaujuzi zaidi humu maana nimejaribu sipati

Je unawezaje kujibu haraka haraka humu unajuaje kuwa post imeandikwa unapata notifications kwenye mobile?

Embu niambie namie nijue maana niliset kupata notifications ila inabidi niwe kwenye pc au pcmode on mobile phone ndio nijue
 

Invisible hua ananitext personally!
 

Halafu wewe Bana umenifanya nicheke:biggrin1::biggrin1: eti hukula samaki kabisa...

:A S-rose::A S-rose:
 
Sasa nimekujua weye ni mmoja wa mods au unajiggonga kwa invisible kwa kukalia jf 24/7

Ukitegemea kupewa cheo au?
Yeahh nategemea kupandishwa cheo kutoka secretary kua assistant manager!!
 
Sasa nimekujua weye ni mmoja wa mods au unajiggonga kwa invisible kwa kukalia jf 24/7

Ukitegemea kupewa cheo au?

hahaa haaa ulijuaje mkuu???
kuna watu kama Lizzy wana mambo ya kitoto sana kisa akichekewa na Mods kule ndio anataka kujifanya yeye anajua kila kitu,
Halafu nimegundua kitu kingine mtu kama huyu ni mchonganishi mkubwa kazi yake ni kuwachongea watu wawe wanakula BAN,
kitu ambacho sio fair kabisa,
Achana nae asikuumize sana kixhwa
wakina Invisible na Max wangekua na roho kama ya Lizzy (kujifanya superior)
JF isingefika hapa, huwezi amini, Jamaa wapo tayari kuchoma mafuta kukufuata ulipo ili kuja kukusaidia tatizo lako
lakini Lizzy?????
DADA BADILIKA.....
 
Tulikuwa Grocery moja Ifakara. Kulikuwa na jamaa amekaa mna mke wa mtu. Basi umeme ulipokatika kukawa na hali ya kutulia flani mara uliporudi ghafla tukakuta jamaa kampinda mke wa mtu kwenye ukuta. Ikawa gumzo mji mzima ......
 
Tulikuwa Grocery moja Ifakara. Kulikuwa na jamaa amekaa mna mke wa mtu. Basi umeme ulipokatika kukawa na hali ya kutulia flani mara uliporudi ghafla tukakuta jamaa kampinda mke wa mtu kwenye ukuta. Ikawa gumzo mji mzima ......

tehee teheee, TANESCO bana!
 
Sina hasira ila nataka uache kuleta thread zisizo na mantiki jamvini....kama umeme umekatika si uwashe chemli au kibatari?!
una mtimanyongo weye!
 
una mtimanyongo weye!

Umeona mkuu (kisa ana cheki na kina Invisible na Mods), ana mtimanyongo nikiwa kwenye computer nitakugongea like ili uone notification
 
Umeona mkuu (kisa ana cheki na kina Invisible na Mods), ana mtimanyongo nikiwa kwenye computer nitakugongea like ili uone notification

Hahahahha...mnalo!!
Mtima nyongo JF tena kwa vivuli vya watu na sio watu?!Kaaazi kweli kweli!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…