Umeme Jua naitambulisha PREMIER ELECTRICS

Umeme Jua naitambulisha PREMIER ELECTRICS

Mkuu hongera sana Mkuu Umeme Jua.. Nimechukua contacts nadhani tutawaciliana ili nipate maelezo ya ziada.. Nina clients ambao nadhani wanaweza kufurahia huduma zako unazozitoa..
big sosoliso karibu sana na hao clients, tuwasiliane pasi na shaka
 
Last edited by a moderator:
Hongera mkuu kwa kujikwamua na kutengeneza nafasi za ajira kwa waTz wenzako pia. Kama ZeMarcopolo alivyosema jitahidini sana kuzitambua bidhaa halisi na zile feki ili katika kazi zenu muwe makini na muwe na msimamo wa dhati kuwa hamtatumia bidhaa feki kwa kazi yeyote. Vilevile uadilifu na uaminifu ni vitu cha muhimu sana. Mnapochukua kazi ya mteja fanyeni kama ni kazi yenu wenyewe bila kuchakachua kwa namna yoyote ile. Hii itawajengea jina zuri kwa jamii hivyo kuwavutia watu wengi. Trust me, mtaanza kidogo kidogo na hatimaye mtakuwa na kampuni kubwa ambalo mnaweza kuwa na link ya moja kwa moja na makampuni yanayotengeza bidhaa za ubora kutoka katika nchi zinazoaminika kwa viwango kama vile Ujerumani, Uingereza, Sweden, Marekani etc. Nawatakia kila la heri.
mkuu rmashauri karibu tushirikiane katika kusongesha gurudumu la taifa
 
Last edited by a moderator:
HONGERA SANA its a great step tutawasiliana mkuu nikiona dili lolote kwa kweli Mungu akufanikishe na abariki kazi za mikono yako la muhimu ni uaminifu na kuhakikisha jina la kampuni linakuwa na kwa usafi, rushwa urushi ulipuaji usitajwe kwako kamwe fanya kazi ya mtu kwa moyo wote bila kujali ni shilingi ngapi kwa njia hii hutakaa ukose kazi kamwe.
mama Mamzalendo dili vipi bado, kama vipi tuwasiliane
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wanajamii,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa jamiiforums hususani jukwaa la Uchumi na Biashara kwa muda mrefu. Mada mbalimbali kuhusu biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na ujasiriamali kwa ujumla nilizifurahia na kuzipenda sana na hivyo nami nikashawishika kuanzisha kampuni ya ukandarasi wa umeme.

Hivyo leo nawatambulisha rasmi PREMIER ELECTRICS, kampuni ya ukandarasi umeme (electrical contractor) iliyosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (Contractors Registration Board-CRB) katika kiwango cha daraja la 6 (class 6).

PREMIER ELECTRICS inajihusisha na ufungaji wa umeme wa MAJUMBANI, MAJENGO YA BIASHARA na VIWANDANI na vilevile matengenezo (maintenance) ya mifumo ya umeme (electrical systems).

Kwa mawasiliano zaidi,
Ofisi: Stanford House, Tangi Bovu, Mbezi Beach,
S.L.P 13162 Dar es salaam, Tanzania.
Simu: (+255) 0715 050539/0766705332/0714693754/0614435355.
Barua pepe: premier-electrics@hotmail.com.

Karibuni wadau mfurahie huduma zetu.

Asanteni sana, pamoja sana.
Karibuni ndugu tujenge nchi kwa sasa tunaendelea na mradi wa umemeshaji vijijini. Welcome for your dearly support.
 
mkuu .... hongera

my sincere advice is that ... stick to professional practice ... once you won the tender and awarded a contract fulfill what is actual on contract docs ... conditions, drawings, BOQ and specs ... dont twist anything intentionally in return of high profits, do not inflate rates, do not improvise specified building materials (uchakachuaji) and lastly do not temper with Advance payments when certified ... teh teh teh

dont be shy or hesitate to seek professional advice once any matter may arise ... design a good company management style

i wish you all the best

Kiongozi bluetooth , nakutafuta
 
Last edited by a moderator:
mkuu .... hongera

my sincere advice is that ... stick to professional practice ... once you won the tender and awarded a contract fulfill what is actual on contract docs ... conditions, drawings, BOQ and specs ... dont twist anything intentionally in return of high profits, do not inflate rates, do not improvise specified building materials (uchakachuaji) and lastly do not temper with Advance payments when certified ... teh teh teh

dont be shy or hesitate to seek professional advice once any matter may arise ... design a good company management style

i wish you all the best
bluetooth karibu tupo bado
 
Last edited by a moderator:
HONGERA SANA its a great step tutawasiliana mkuu nikiona dili lolote kwa kweli Mungu akufanikishe na abariki kazi za mikono yako la muhimu ni uaminifu na kuhakikisha jina la kampuni linakuwa na kwa usafi, rushwa urushi ulipuaji usitajwe kwako kamwe fanya kazi ya mtu kwa moyo wote bila kujali ni shilingi ngapi kwa njia hii hutakaa ukose kazi kamwe.
Mamzalendo hao nyau watakuwa wameshakuwa chui muda mrefu, karibu
 
Last edited by a moderator:
safi sana kamanda .. good move .. tutawasiliana kuweza kupeana maujanja ..
hii ni spirit nzuri tujitahidi kupractise hii fani kwa kweli..
kumbuka mwanzo mgumu ila kazi nzuri kila mtu ataipenda ..
Maganga Mkweli tunasubiri maujanja yako hata milango hatufungi
 
Last edited by a moderator:
safi sana kamanda .. good move .. tutawasiliana kuweza kupeana maujanja ..
hii ni spirit nzuri tujitahidi kupractise hii fani kwa kweli..
kumbuka mwanzo mgumu ila kazi nzuri kila mtu ataipenda ..
Maganga Mkweli tunasubiri maujanja yako hata milango hatufungi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom