Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,279
- 1,772
Mod upo au mekwemda msalani???
Wewe ndo tukuulize. Kusoma hujui, na picha nayo hujui kuangalia????
Mod upo au mekwemda msalani???
Nakataa hapa si bongo labda ni katika moja ya nchi za Asia. Kama ni Bongo mbuzi mzee atuambie ni wapi!
Binafsi naona kuchapa kwa kiasi si vibaya kuliko kumwacha kabisa. Hebu angalia watoto wa wanaotuhamasisha tusiwachape watoto wetu, wa kwao wakoje? Ndiyo haoutasikia kachukua bunduki kwenda muua baba na mama yake, mwalimu n.k. Biblia na Qurani pia zimehimiza adhabu za namna hii kwa watoto, ila tu isiwe kupita kiasi.