COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Kama kweli umekula hivyo mkuu hiyo lazima likuumeItakuwa kweli!!!
Kama kweli umekula hivyo mkuu hiyo lazima likuumeItakuwa kweli!!!
Mkuu haya matunda yanapatikana wapi?
Ulafi umeniponza!!Kama kweli umekula hivyo mkuu hiyo lazima likuume
Msongwa dawa ya tumbo au!
Hahahaah sio ulafi mkuu,Ni kutojua athari TU. Kwani we ulifakamia!!?? Hiyo ni sawa na ukila Nanasi na ndizi kisukari kwa pamoja acha kabisaUlafi umeniponza!!
Huo mixer wa kibabeL
Asubuhi ya leo nimekula matunda haya zabibu,papai,chungwa, parachichi,kipande kidogo Cha ndizi,fenesi na komamanga
Manyanya Chungu yanaboresha afya ya naniliu lakini yanasababisha preshaAhsante Eli ntazingatia hayo ila umesema bamia na nyanya chungu ni kwa afya ya nini?.. sipendi mabamia! Ila nyanya chungu poa 🤔
Usiweke chumvi MkuuNoma sana kuna mdau kaniambia kama inaleta ganzi tuweke chumvi ngachoka aisee
UWiiiiMimi Kila siku nakunywa juisi ya miwa.
Asubuhi mchana na jioni..
Mshana Jr hili Ni zaituni?
Brother Mshana Jr hivi Ni vitunda gani je lishe au tiba
Mashelisheli vileCredit kwake Angel Nylon View attachment 1840733
Uzi makini Mkuu. Mimi Leo sijala kabisa Tunda. DahKwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na kwa uchache zaidi wale wanaotambua umuhimu wa matunda mwilini kiafya. Wengi wetu humaliza mpaka wiki bila kula hata kipande kimoja cha tunda lolote.
Wengi huwa hawali matunda mpaka waandikiwe na daktari kama sehemu ya tiba. Kwao kula tunda ni sehemu ya anasa na kupoteza pesa..
Matunda yana faida kubwa mwilini kiafya kuliko hata nyama. Matunda ni sehemu muhimu ya tiba. Matunda yana uwezo wa kukujenga kiafya na kukukinga na maradhi mengi. Ni afadhali mara mia ukala matunda ya buku kuliko kula mchemsho wa buku 2, Matunda ni tiba ya magonjwa mbalimbali.
Matunda ni sehemu muhimu ya tiba mbadala na ujenzi wa mwili imara na wenye nguvu.
Baadhi yetu hupendelea shurubati zaidi kuliko matunda yenyewe. Ni sawa pia lakini shurubati isiyo halisi inakuwa imechanganywa na vionjo vingine hivyo kupunguza kwa kiasi fulani nguvu ya kutenda.
Huu ni ushauri wangu kwako pamoja na kunywa maji mengi na kupangilia milo yako lakini usisahau kitu hiki muhimu sana TUNDA. Jitahidi kupata kipande cha tunda kwenye kila mlo wako.. kuna siku utanikumbuka na kunishukuru kimoyomoyo
Je, umekula tunda gani leo?