Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 6,045
- 45,923
Hata mimi sijamaanisha hilosijamaanisha hilo..ila hongera sana
Mkuu kwa mwenye kisukari asithubutu kula nanasi wala ndinzi mbivu. Na akitaka kujua madhara yake na apime sukari Kisha ale ndizi kipande kidogo tu,Kisha baada ya dakika 5-7 toka ale apme Tena aone hali ipoje.Ni tunda la msimu kula tani yako..hakuna shida kiafya lakini kiimani tunafundishwa kuwa na KIASI kwenye kila kitu...Madhara mengine labda kuvimbiwa
Mnada wa wapi!?Aise, nitaenda mnadani leo, nimemiss matunda
Asubuhi ya leo nimekula matunda haya zabibu,papai,chungwa, parachichi,kipande kidogo Cha ndizi,fenesi na komamangaAah kumbe .
Lazima likuume mkuu,hayo matunda mawili ya chini Yana asili moja na Yana baridi isiyo faa kwa afya ya tumbo kuyala kwa pamoja. kuyachanganya si njema.Ndiyo niliyo kula ila tumbo linaniuma kweli sijui yalikuwa matetaView attachment 1935592
Itakuwa kweli!!!Lazima likuume mkuu,hayo matunda mawili ya chini Yana asili moja na Yana baridi isiyo faa kwa afya ya tumbo kuyala kwa pamoja. kuyachanganya si njema.