Umekula tunda gani leo?

DSC_0525.JPG
DSC_0533.JPG
 
Mku
Ni tunda la msimu kula tani yako..hakuna shida kiafya lakini kiimani tunafundishwa kuwa na KIASI kwenye kila kitu...Madhara mengine labda kuvimbiwa
Mkuu kwa mwenye kisukari asithubutu kula nanasi wala ndinzi mbivu. Na akitaka kujua madhara yake na apime sukari Kisha ale ndizi kipande kidogo tu,Kisha baada ya dakika 5-7 toka ale apme Tena aone hali ipoje.
 
Mku
Mkuu kwa mwenye kisukari asithubutu kula nanasi wala ndinzi mbivu. Na akitaka kujua madhara yake na apime sukari Kisha ale ndizi kipande kidogo tu,Kisha baada ya dakika 5-7 toka ale apme Tena aone hali ipoje.
Aah kumbe .
 
Back
Top Bottom