Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 18,295
- 27,333
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa
Kuna kitu nimejifunza kikubwa sana kwenye huu utawala wa Rais Magufuli.
1. Heshima kwa watu wote wakubwa na wadogo
Hakika hakuna wakati ambao Watanzania tunaheshimiana kama sasa yaan imefikia hatua hata machizi hawatembei tena na viboko na kuanza kuchapa watu hovyo hovyo
Hata wale majamaa wa masokon ambao wakiona mdada kavaa nguo fupi hawapigi tena kelele na kupiga miluzi kama ilivyo kuwa zaman
2. Hakuna tena kuulizana kuwa unanijua mimi ni nani
3. Upole - Watanzania kwa sasa ni wapole sana wenye mawazo
4. Ufisadi - Mafisadi bado yapo japo yanauma na kupuliza
5. Makonda -
Hayo ndo niliyojifunza nawe weka yako
LONDON BOY
Kuna kitu nimejifunza kikubwa sana kwenye huu utawala wa Rais Magufuli.
1. Heshima kwa watu wote wakubwa na wadogo
Hakika hakuna wakati ambao Watanzania tunaheshimiana kama sasa yaan imefikia hatua hata machizi hawatembei tena na viboko na kuanza kuchapa watu hovyo hovyo
Hata wale majamaa wa masokon ambao wakiona mdada kavaa nguo fupi hawapigi tena kelele na kupiga miluzi kama ilivyo kuwa zaman
2. Hakuna tena kuulizana kuwa unanijua mimi ni nani
3. Upole - Watanzania kwa sasa ni wapole sana wenye mawazo
4. Ufisadi - Mafisadi bado yapo japo yanauma na kupuliza
5. Makonda -
Hayo ndo niliyojifunza nawe weka yako
LONDON BOY