UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Hivi ikiwa kama wewe ni mwananchi wa kawaida na mpiga kura, ni jambo gani umejifunza kutokana na uchaguzi huu kwa tukio la Lowassa ambaye tulikuwa tukimfahamu kama fisadi mkubwa sana kwa muda mrefu tu lakini mwishoni kajakuishia kuwa mgombea urais?
Mimi binafsi nimejifunza kuwa wakati wananchi tuna hamu ya mabadiliko wenzetu pia wao wana hamu ya madaraka,hivyo pengine hawa wengine niwajuwao kama mafisadi leo yawezakuwa ni tofauti na nijuavyo.
Mimi binafsi nimejifunza kuwa wakati wananchi tuna hamu ya mabadiliko wenzetu pia wao wana hamu ya madaraka,hivyo pengine hawa wengine niwajuwao kama mafisadi leo yawezakuwa ni tofauti na nijuavyo.