Umejifunza nini katika maisha ya mapenzi hadi leo?

MZURI SANA

JF-Expert Member
Oct 19, 2023
241
546
Guys

Kitu gani mpaka leo umejifunza katika ulimwengu wa kimahusiano/mahusiano na kimekuwa somo kubwa sana unahitaji kizazi kijacho wajifunze katika hilo.

Nimejifunza kwenye mapenzi kuna usaliti ,usiwekeze asilimia kwenye mapenzi.

Usipokuwa makini unaweaza kumchukia kila kiumbe ukionacho mbele yako?
 
π’Žπ’‚π’‘π’†π’π’›π’Š 𝒑𝒆𝒔𝒂𝒂𝒂𝒂
 
Guys

Kitu gani mpaka leo umejifunza katika ulimwengu wa kimahusiano/mahusiano na kimekuwa somo kubwa sana unahitaji kizazi kijacho wajifunze katika hilo.

Nimejifunza kwenye mapenzi kuna usaliti ,usiwekeze asilimia kwenye mapenzi.

Usipokuwa makini unaweaza kumchukia kila kiumbe ukionacho mbele yako?
Nyie ndo mnafanya aziz ki anafunga kila siku
 
Guys

Kitu gani mpaka leo umejifunza katika ulimwengu wa kimahusiano/mahusiano na kimekuwa somo kubwa sana unahitaji kizazi kijacho wajifunze katika hilo.

Nimejifunza kwenye mapenzi kuna usaliti ,usiwekeze asilimia kwenye mapenzi.

Usipokuwa makini unaweaza kumchukia kila kiumbe ukionacho mbele yako?
Cha kwanza
Tafuta pesa
Chapili
Tafuta hela
Cha tatu

Tafuta feza
 
Back
Top Bottom