Kuna kila aina ya changamoto zinazokabili ndoa nyingi na kila mtu ana sehemu ambayo anaweza kuelezea, lakini kutokana na mfumo mamboleo 'NEW AGE' ambayo inachukua nafasi wakati huu kila mtu anapewa nafasi ya kuweza kujiamulia mfumo wa maisha yake yeye binafsi akiwa na ELIMU, MALI, KIPATO nk.
Lakini jambo moja ambalo niliwahi kusoma katika moja ya vitabu vya kale ambacho kiliandikwa na mmoja wa manabii wa huko nyuma kilinifumbua macho hasa katika paragraph hii hapa chini:...
"Eve had been perfectly happy by her husbands side in her Eden home; but, like restless modern Eves, she was flattered with the hope of entering a higher sphere than that which God had assigned her.-In attempting to rise above her original position, she fell far below it.-A similar result will be reached by all who are unwilling to take up cheerfully their life duties in accordance with Gods plan.-In their efforts to reach positions for which He has not fitted them, many are leaving vacant the place where they might be a blessing.-In their desire for a higher sphere, many have sacrificed true womanly dignity and nobility of character, and have left undone the very work that Heaven appointed them"
Hapo juu nilijifunza udhaifu au nafasi ambayo mmoja wa wanandoa aliamua kuikimbia na matokea yake baadhi ya wanandoa wanaona majuto na kuona ndoa kama ugonjwa wa EBOLA.
*NB baadae nitaleta comments kwa upande wa pili.