Umeichoka ndoa yako?

Umeichoka ndoa yako?

kinachofanya watu waichoke ndoa ni walikurupuka,ndoa yao haijajengwa na UPENDO bali ni wameoana tu kwa vile muda umeenda,au mimba,au mali,au stress za kuachika kwenye relationship za nyuma. Yes ndoa iliyojengwa na upendo ina changamoto pia ila panapotokea kupishana wanakaa pamoja kwa upendo na kuyamaliza,ila hizi zilizojengwa na stress ni kuumizana tu utasikia wewe hukua chaguo langu nilikubali tu kuolewa na wewe sababu ya umasikini au sababu muda umeenda au sababu ya mimba yaani ni full kukomoana. Raha ya ndoa ni ijengwe na UPENDO WA PANDE ZOTE MBILI.
 
So what??? Kama ulikuwa unataka kutoa ushauri ungeutoa wazi mbele ya kadamnasi , sasa utafutwe ili iweje? Ahhh Gileeeeeeeesiiiiiii(usipanic mkuu)
By the way ndoa yangu tamu kushinda asali, sina matatizo wala sijaichoka ,kwanza kila siku naiona mpya...mahaba mahabani!
baadhi yenu nyie mnaozisifia ndoa zenu ndio zina majanga balaa but hongera kwa kuwa na ndoa bora
 
Ndoa ni kama CCM watu wameichoka hawataki hata kusikia, wanataka mabadiliko.
 
Mmmmh... napitilizaa mie nisiye na ndoa. wenye nazo tokeni mutuandikie tuyajue yaliyomo humo...
 
ugumu wa ndoa kwangu ni pale ndugu wa mume wanapoingilia maisha yetu mara waje mawifi,mama mkwe na mumewe, mashemeji wanataka misaada yan hawanaga aibu mpaka kero sasa hapa ndoa inakuwa ngumu maana ntagombana na mume wangu
 
Upendo ni kitu muhimu sana katika Ndoa , Palipo upendo kuna Amani ,Furaha , hata kama kuna tatizo hukaa kwa upole kutafakari pamoja na kumaliza tofauti zao .
 
Nitakupataje...mi sitaki ht kusikia khs ndoa

unapatikana wap mi imenichosha na kuniumiza sana

Mi nimechoka najikaza tu.
Muda mwingine unaamua kuwa mpole ila baada ya muda unagundua kuna mambo yanafanyika ya kuumiza!
Mmh hapana Aisee.

Ndoa ni kama shairi linaimbika kwa sauti nyingi. Nyingine nzuri nyingine mbaya hivyo hivyo tu bora liimbike.

Mimi ctaki tena ndoa hata ushauri tu siutaki,ndoa haina maana ni upuuzi tu,bora MTU uishi unavyojua haina haja ya kuoa.

Ndoa haina fomula aisee iache tu

Kwahizi comment nazidi kuogopa ndoa kwakwel
 
Upendo ni kitu muhimu sana katika Ndoa , Palipo upendo kuna Amani ,Furaha , hata kama kuna tatizo hukaa kwa upole kutafakari pamoja na kumaliza tofauti zao .

Hata Mungu anakuwepo palipo na upendo
 
Baada ya kuoa ndo bahati ya wanawake wenye mavumba mamtoni ndo wanazidi kujitokeza!!
 
Back
Top Bottom