Kama msaada unawezekana wasaidiwe tu usijiumize sana bana. Kama hayawezekani ni muhimu mumeo akaliweka hilo wazi kwa ndugu zake. Halafu usijekuta kwenu unasombea misaada na malori kama yale ya UNHCR ikija upande wa pili ndio unalalamika.
ugumu wa ndoa kwangu ni pale ndugu wa mume wanapoingilia maisha yetu mara waje mawifi,mama mkwe na mumewe, mashemeji wanataka misaada yan hawanaga aibu mpaka kero sasa hapa ndoa inakuwa ngumu maana ntagombana na mume wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.