Umegundua nini kuhusu bikra?

Umegundua nini kuhusu bikra?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,647
Reaction score
4,753
Mimi nimegundua moja la ajabu sana ila ni ukweli bikra inayotolewa bila ndoa huondoa aibu(haaya) ya asili aliyonayo mwanamke yaani hata anaweza akavua mbele za watu na wala asione shida wala tatizo na ile inayoondolewa kwenye ndoa halali mwanamke hubaki na aibu yake ya asili kabisa wala haipotezi na huyu ndiye muumba aliyetutaka tusizini...ametuumba hivyo na katuwekea sheria..sisi tunaona kakosea tunazivunja sheria zake.

jitunzeni wadada...



sent using jamii forums mobile app
 
Mimi nimegundua moja la ajabu sana ila ni ukweli...

BIKRA INAYOTOLEWA BILA NDOA...HUONDOA AIBU(Haaya) YA ASILI ALIYONAYO MWANAMKE...
Yaani hata anaweza akavua mbele za watu na wala asione shida wala tatizo...

NA ILE INAYOONDOLEWA KWENYE NDOA HALALI...MWANAMKE HUBAKI NA AIBU YAKE YA ASILI KABISA WALA HAIPOTEZI...

NA HUYU NDIYE MUUMBA ALIYETUTAKA TUSIZINI...AMETUUMBA HIVYO NA KATUWEKEA SHERIA..SISI TUNAONA KAKOSEA...TUNAZIVUNJA SHERIA ZAKE...

JITUNZENI WADADA...

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizi ni slogan zako mwenyewe umejitungia hakuna ukweli hapo
 
Kwani kuna tofauti gani kutolewa bikra nje ya ndoa na ndani ya ndoa jaman
 
Mimi nimegundua moja la ajabu sana ila ni ukweli bikra inayotolewa bila ndoa huondoa aibu(haaya) ya asili aliyonayo mwanamke yaani hata anaweza akavua mbele za watu na wala asione shida wala tatizo na ile inayoondolewa kwenye ndoa halali mwanamke hubaki na aibu yake ya asili kabisa wala haipotezi na huyu ndiye muumba aliyetutaka tusizini...ametuumba hivyo na katuwekea sheria..sisi tunaona kakosea tunazivunja sheria zake.

jitunzeni wadada...



sent using jamii forums mobile app
Zama hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom