Hivyo wanaokufahamunawanao mfahamu baba yako watasema umepata taswira ya baba na si kusema una sura ya kiume. Maana kuna uwezekano kuwa taswira yake imefanana mno bibi yako ambaye ni mama yake. Wengine husema umefanana na bibi yako.
Lakini pia yaweza kuwa taswira ya baba yako imefanana mno na baba yake ambaye ni bibi yako, yote ni heri. Hakuna sura ngumu wala sura ya kiume.
Msalimu sana baba mumu.
sawa atasikia baba mumu,..pia nilisahau kusema nimefanana sana na shangazi zangu ambao copiraiti na babangu,...Mimi cross breed namaanisha niko na sura nusu ya mzee na mama....Ni taswira mpya hiyo, hongera.
sawa atasikia baba mumu,..pia nilisahau kusema nimefanana sana na shangazi zangu ambao copiraiti na babangu,...
Hii.maana yake, waliozaliwa tumbo moja na baba yako yaani shangazi na baba wakubwa kwa wadogo wana damu kali mnoo, wamefanana. Huwezi potea maana taswira ni utambulisho pia, hongera mno hadi nakuonea raha.

akhsante..AsanteHongera kwa kupata taswira ya baba.
Afadhali uambiwe umefananana mama au baba yako. Shida ni pale unapoanza kuambiwa umefanana na mjomba ake babu yako mzaa bibi!
HahahahahahaHongera kwa mzee baba, hapo mzee anajisikia fahari heheheh
Nimecheka sana 😀Afadhali uambiwe umefananana mama au baba yako. Shida ni pale unapoanza kuambiwa umefanana na mjomba ake babu yako mzaa bibi!
Karibu sana aisii, mbona itakuwa raha?Hata karibu nije kuonja unachokula.