Umefanana sura na baba au mama?

Umefanana sura na baba au mama?

Leo niko na issue ya kawaida tuu, tumezoea kusikia mti akisema mtu mwenyewe una sura ya baba au unajifanya mrembo huku sura ya baba. Au mtu anaambiwa na wenzie kwa kejeli, unatusumbua tuu hapa una sura ya mama na vitu kama hivyo.

Nimejiuliza tuu, sura ya kike ni ipi na ya kiume ni ipi? Au tumecremisha mwanaume ndo mbaya na mzuri ni mwanamke?

Kwa mtaani tujuavyo mtu au mtoto wa kiume akiambiwa unatuzingua wakati mtu mwenyewe sura ya mama maana yake ni mtu laini laini kazi ngumu haziwezi ila maneno mengi.

Kwa mtoto wa kike ndiyo unakuwa kejeri pia kuwa sura mbaya koz wanaume wengi sura za mbuzi
 
Tangu niko mdogo Maza wangu alikuwa ananipenda sana, ila nilikuwa sijui nimekuja kukua nikajua ooooh ok!! nafanana nae sana. Ila ni sura tuu tumefanana coz me Boy
 
Aahahahahahahhahahahaaaa

Siku zote hukosi vituko babu, kiukweli nimekumiss mnoo.

Wiki ijayo ntakuwa daslamu japo ratiba imebana ila Rodizo itahusika.
Usisahau ahadi ni deni. Zawadi yangu kwako ni mtoto wetu atafanana na mimi. Sitaki uwe unanimisi wakati kopi yangu iko pembeni yako
 
Usisahau ahadi ni deni. Zawadi yangu kwako ni mtoto wetu atafanana na mimi. Sitaki uwe unanimisi wakati kopi yangu iko pembeni yako

Aahahahahahahahaaaa babuuu ODM....

Mmmuuaahhh, umenifanya nimkumbuke babu Dark City aka DC

Nasubiria kwa hamu kazi ya kutoa fotokopi hehehehehhe.
 
Aahahahahahahahaaaa babuuu ODM....

Mmmuuaahhh, umenifanya nimkumbuke babu Dark City aka DC

Nasubiria kwa hamu kazi ya kutoa fotokopi hehehehehhe.
Kutoa fotokopi ndo fani yangu...

Ukishagonga amarula yako nami nikagonga Black label... mvua ikiwa inanyesha nje huku tukiwa tunasikiliza mziki wa Celine Dion... kwanini fotokopi isitokee??
 
Kutoa fotokopi ndo fani yangu...

Ukishagonga amarula yako nami nikagonga Black label... mvua ikiwa inanyesha nje huku tukiwa tunasikiliza mziki wa Celine Dion... kwanini fotokopi isitokee??

Hadi nimesisimka babuu baada ya kuvuta taswira ya maneno yako....

Mvua...

Amarula....

Black label...

Fotokopi.

Isipotoka kutakuwa na mkono wa mtu aiseeh.

See you next week babuu.
 
Hadi nimesisimka babuu baada ya kuvuta taswira ya maneno yako....

Mvua...

Amarula....

Black label...

Fotokopi.

Isipotoka kutakuwa na mkono wa mtu aiseeh.

See you next week babuu.

Eagerly waiting...

0fgjhs6kaoo1ca831.666f880d.jpg
 
Kwa uzoefu wangu mtoto wa kike akifanana na baba yake anakuwa mzuri sana.
 
Eagerly waiting...

0fgjhs6kaoo1ca831.666f880d.jpg

Wacha niandike nikichotamka baada ya kuona hii picha....

Ooh my God... ooh no no no no no nooh aawww woow na tabasamu kuubwaaa.

Umeniweza looh.... mmmmuuuaaaaah! !
 
Kwanza we we unafanana na nani kati ya mama na baba,na he unahisi ni kwa nini umefanana sana na mmoja kati ya wazazi wako,nitarudi
 
Kwanza we we unafanana na nani kati ya mama na baba,na he unahisi ni kwa nini umefanana sana na mmoja kati ya wazazi wako,nitarudi
Nafanana na mama.....

Kuanzia sura umbile hadi baadhi ya tabia hadi rangi ya ngozi.
 
Back
Top Bottom