Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,561
- 3,557
Umembesha=Umembebesha
pia vice versa ts true ipo hivi.Unaachana na mwanaume aliye enlight maisha yako unaenda kwa mwanaume ambaye unahisi ni sahihi kwako kumbe ndio anaenda kukuzima future yako. Hii inatokea pale mwanamke anapoacha mwenye mapenzi ya kweli na kwenda kwa mwanaume mwenye mali kwa kuhisi kule ndio atapata faraja na tulizo la nafsi