Kwa nn mkuu? kukosa mke ni matokeo tu! kawaida tu!
mshukuru mungu sana kwa hilo amekuepusha na gharika
Kuachana sio kirahisi rahisi kama mnavodhani,
we jamaa kama unampenda mpe mimba ndo watajua umewahi au umechelewa
otherwise uwe nawe humuhitaji tena
huyo ni mwanamke sio biashara ya kiwanja
Baada ya kupewa majibu hayo sijawasiliana naye tena, yeye ana anasema mimi niamue!
hawakutaka tu wewe uoe binti yao posa haina dedline mkuu,alafu huyo mchumba anakuambia uamue!!uamue nn wakati posa imekataliwa,tafuta jiko jingine
hilo limenivutia zaidi miss neddy
lol