St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,635
- 4,519
Mshindwe na Mlegezwe,
Nitawageuza nyani mimi?
Au humjui kama baba yangu ni Dr Nanilii wa pale Mwananyamala?
Nitawatumia Popobawa hapo mlipo.
Kushindwa haiwezekani,kulegezwa itakuwa ngumu kidoooogo,kugeuzwa nyani hapo labda ufafanue au ulikuwa unamaanisha Nyani Ngabu,suala la baba wa mwananyamala wala siogopi mi ntakuitia mjomba wangu,ukimshinda huyo basi namwita babu yangu Lugalanzula,ukimleta popobawa nasema naye mi ndo shetani sasa sijui nyumba ya shetani popobawa anaingiaje subiri tu mfungo uishe mama tucheze baikoko asi utanifundisha eeh..
Last edited by a moderator: