St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,589
- 4,419
Unamuita kaka una uhakika St. Paka Mweusi ni He?
Kidude gani asibonye?
We nawe maneno meeengi,mfupa huvunji.
Heri yule asiye na mashaka nami....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuita kaka una uhakika St. Paka Mweusi ni He?
Kidude gani asibonye?
We nawe maneno meeengi,mfupa huvunji.
Heri yule asiye na mashaka nami....
...Maana anaweza kukutana na asichotarajia.
umesha mmezea mate St. Paka Mweusi ile unajishebedua tu,mi sinakujua!...nakuomba umsubilishe usije mvunjia swaumu yake roh
Kama yupo mkoa basi anafunga kihalali,lakini kama yuko Dar hii,anashinda na njaa tu,
Haya una mpya?
Au unamsubiri Mtakatifu Paka?
mkakati wangu ni kuhakikisha St. Paka Mweusi anakumega iwe isiwe,usiniangushe lakini
...Maana anaweza kukutana na asichotarajia.
mkakati wangu ni kuhakikisha St. Paka Mweusi anakumega iwe isiwe,usiniangushe lakini
cjambo!!!! mpemasalamu wifiyangu!!!Marahaba hujambo princes
cjambo!!!! mpemasalamu wifiyangu!!!
Mshindwe na Mlegezwe,
Nitawageuza nyani mimi?
Au humjui kama baba yangu ni Dr Nanilii wa pale Mwananyamala?
Nitawatumia Popobawa hapo mlipo.
Bado tunajibu suali au tumeshaingia kipindi cha salam?
Bado tunajibu suali au tumeshaingia kipindi cha salam?
ha,ha,ha,ha,ha....usinivunje mbavu Madame B mi sitaki kucheka bwana nipo peke yangu hapa karabash naogopa watu wataniona chizi kucheka peke yangu.njoo basi upate moja au umefunga?
calabash bana....nami nipo hapa kaunta....wewe upo pande gani.....?