blackgold engineer
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Watanzania wengi washio ughaibuni yaani ulaya na marekani na hasa wale ambao hawajuri Tanzania kwa muda mrefu,,bado wanaushamba ule wa kizamani wakihisi kua vitu wanavyojua wao au kuanavyo wao eti watu waliooko huku Tanzania hawavifahau,,huo ni ulimbukeni wa hali ya juu,,kumbe hawajui kua Tanzania siku hizi watu wamepiga hatua na wanaishi maisha bora sana kuliko wao,,utakuta mtu kasoma kule nje anafanya kazi katika migahawa ya chakula na anakaa katika kachumba kamoja kanachomnyonya kulipia bills,wakati bongo watu wanaishi katika majumba ya kifahari na ardhi ya kutosha full kujiachia,,wengine wamebaki huko kwa kukosa nauli za kuja hata kutembea bongo,,eti utamsikia mtu anatoa sababu eti anaogopa kuombwa hela akija bongo?? NANI AKUOMBE HELA ZAKO ZA MAWAZO UNAZOZIPATA KWA KUKOSA USINGIZI,,HUKU BONGO WATU WANAHELA NA WANAISHI MAISHA ZAIDI YENU HUKO UGAIBUNI,,HACHENI MAWAZO FINYU MKO NYUMA SANA KAMA HAMJUI..