Usije ukawa ndo wale wale wa email sizizo na msingi, mara cheki picha ya demu wa kizungu na mtoto, WEEEEH WATU WANATAKA GOTO!
Watanzania wengi washio ughaibuni yaani ulaya na marekani na hasa wale ambao hawajuri Tanzania kwa muda mrefu,,bado wanaushamba ule wa kizamani wakihisi kua vitu wanavyojua wao au kuanavyo wao eti watu waliooko huku Tanzania hawavifahau,,huo ni ulimbukeni wa hali ya juu,,kumbe hawajui kua Tanzania siku hizi watu wamepiga hatua na wanaishi maisha bora sana kuliko wao,,utakuta mtu kasoma kule nje anafanya kazi katika migahawa ya chakula na anakaa katika kachumba kamoja kanachomnyonya kulipia bills,wakati bongo watu wanaishi katika majumba ya kifahari na ardhi ya kutosha full kujiachia,,wengine wamebaki huko kwa kukosa nauli za kuja hata kutembea bongo,,eti utamsikia mtu anatoa sababu eti anaogopa kuombwa hela akija bongo?? NANI AKUOMBE HELA ZAKO ZA MAWAZO UNAZOZIPATA KWA KUKOSA USINGIZI,,HUKU BONGO WATU WANAHELA NA WANAISHI MAISHA ZAIDI YENU HUKO UGAIBUNI,,HACHENI MAWAZO FINYU MKO NYUMA SANA KAMA HAMJUI..
Aliyetoa hii mada nigemuuliza amewahi ishi ulaya au marekani na kulinganisha na Tanzania? Au ndio anaandika tuu mada kwa kusikia kwenye TV na kwa story za mtaani? Kwanza ningependa kumuelimisha; watanzania young bloods wa sasa walioelimika wanaishi ulaya kwa strategy. Wanafuata paths zinazotolewa under European Union Intergration Process; recruiting capable foreigners into work force program hizi zipo na well funded..wanafundisha work culture; languages na interships za kutosha na unalipwa unavyohudhuria, sababu kubwa wanafanya hivyo hawataki mizigo ya kuwalisha na kuwalipa unemployment benefits za bure. Na ni kweli hizi programs ni successfull. Wanaofagia wengi ni wale ambao mambo yao hayako sawa; labda hawana vibali vya kuishi au hawana upeo. Maana ulaya ukweli ni kuwa huambiwi nini cha kufanya; ni wewe mwenyewe ufanye research na fall up. Sioni disadvantage ya kuishi inchi ambayo huwazi nitapata wapi hela ya kula; ada ya watoto; matibabu ya watoto; kodi ya nyumba; hela kulipa bills kama huna kazi; all these organised...na ukiwa na kazi unalipia hizi huduma in a certain percentage.Advantage ni nyingi ila disadvantage ni ile Nyumbani ni nyumbani hata pakiwa pabaya..
wewe wa zaman sana_mwenzako ivo ivo yupo UK bas akawa na hisia kama zako kuwa huku ivi mara vile_anatutumia picha za magar mabovu na friji eti atununulie , mara Iphone 3S_mara pentium 1_kudadadek akajichanganya akaja_tulimchapaje mpaka akajuta kuja_tumempokea kwa MIPRADO akadhan tumekodi, mbona aliuza sim yake kwa aibu akanunua Galaxy S4 huku huku, kwa kumkoga nikamwambia mtoto wangu ndo anasoma ulaya mim sitaki hata kupasikia huko_nadhan alijutia kuja
Kiranga na Nyani Ngabu will be here very soon, hii inawahusu.
hamna kazi ya ulinzi ulaya CCTV kibao mitaani nani alinde,kupiga kifagio na deki hapo kama kumsukuma mleviDah! Hata mimi sifahamu chochote kuhusiana na huko mbele, hivi, hizo kazi mnazosema sijui za kubeba mabox, kulinda n.k, zina malipo makubwa kuliko mtu anayefanya kazi za ofisini huku bongo? Kama kweli, basi hamna haja ya kung'ang'ania kuishi bongo wakati najua nikisha zichanga narudi nyumbani kufanya mambo makubwa na respect inakuwepo, tatizo la bongo mambo yanaenda vice versa
wewe wa zaman sana_mwenzako ivo ivo yupo UK bas akawa na hisia kama zako kuwa huku ivi mara vile_anatutumia picha za magar mabovu na friji eti atununulie , mara Iphone 3S_mara pentium 1_kudadadek akajichanganya akaja_tulimchapaje mpaka akajuta kuja_tumempokea kwa MIPRADO akadhan tumekodi, mbona aliuza sim yake kwa aibu akanunua Galaxy S4 huku huku, kwa kumkoga nikamwambia mtoto wangu ndo anasoma ulaya mim sitaki hata kupasikia huko_nadhan alijutia kuja